Kwa Arsenal hii, mtakimbiana! MIKEL Arteta anakaribia kufanya matumizi ya Pauni 200 milioni dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi wakati Arsenal ikijiandaa kukamilisha usajili wa wachezaji watatu kwa mpigo ndani ya...
Man United mzuka mwingi dili la Mbeumo NDO hivyo. Brentford imeshamtambua mchezaji ambaye inamtazama kuwa mwafaka wa kuja kuchukua mikoba ya Bryan Mbeumo, ambaye anahusishwa na mpango wa kutua Manchester United kwenye dirisha hili la...
Chelsea sasa inamtaka Alejandro Garnacho BAADA ya mazungumzo ya awali yaliyofanyika Januari mwaka huu baina ya wawakilishi wa Chelsea a wasimamizi wa winga wa Manchester United na timu ya taifa ya Argentina, Alejandro Garnacho, mwenye...
Kumbe Chelsea haina tiketi 2029 CHELSEA haijafuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia la Klabu licha ya kushinda ubingwa wa michuano ya kwanza ya mashindano baada ya kufanyiwa mabadiliko.
Santi Cazorla kulipwa kiduchu LaLiga KIUNGO fundi wa boli, Santi Cazorla amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu yake ya ujanani Real Oviedo akiwa na umri wa miaka 40 na atalipwa mshahara mdogo zaidi kwenye La Liga.
PRIME Yanga yashtukia jambo usajili wa mastaa, yaweka akili mpya TAKRIBANI siku 15 zimekatika tangu kufunguliwa kwa dirisha la usajili hapa nchini, mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC wameshtukia jambo na kuamua kuchukua hatua za...
Arsenal, Spurs zazidi kujisogeza kwa Eze ARSENAL inatarajiwa kuwasiliana na Crystal Palace kujadili iwapo inaweza kukubali ofa yao ya kumsajili winga wa timu hiyo na England, Eberechi Eze, kwa ofa ya chini ya Pauni 68 milioni dirisha...
Louis Van Gaal afunguka kupona tezi dume KOCHA Louis van Gaal amefichua ameshinda vita ya kumbana na maradhi ya saratani baada ya kudai sasa hana tena tezi dume.
Besidei yamtia hatiani Lamine Yamal KINDA wa Barcelona, Lamine Yamal ameripotiwa kufanyiwa uchunguzi na mamlaka za usalama baada ya kuripotiwa kuajiri mbilikimo kutumbuza kwenye sherehe yake ya kutimiza miaka 18.
Axel Tuanzebe aishtaki Man United MAMBO ni moto. Manchester United imefunguliwa mashtaka na mchezaji wao wa zamani Axel Tuanzebe akiishutumu timu hiyo kushindwa kumpatia ripoti nzuri za kitabibu, imeelezwa.