Man United yajitosa jumla jumla kwa Sesko MAMBO ni moto. Manchester United imeamua kwenda miguu yote kwenye ofa yao ya kumchukua straika wa RB Leipzig, Benjamin Sesko.
Isak afanya mazoezi peke yake akiisubiri Liverpool STRAIKA wa Newcastle, Alexander Isak ameonekana akifanya mazoezi peke yake katika klabu yake ya zamani, Real Sociedad, huku hatima yake ndani ya Newcastle United ikiwa bado haijulikani.
Inter Milan yaingia vitani na Liverpool saini ya Guehi BEKI kisiki wa Crystal Palace, Marc Guehi ambaye anahitajika sana na Liverpool, ameingia katika rada za Inter Milan ambayo ipo tayari kupigana vikumbo na Majogoo hao wa Jiji la Liverpool...
Kocha EPL asema Man United hatari, atoa onyo KOCHA wa Bournemouth, Andoni Iraola amezionya klabu za Ligi Kuu England kuwa Manchester United ni “timu kali sana” baada ya kushuhudia kikosi hicho cha mashetani wekundu kikiiadhibu timu yake...
Slot ahuzunika kisa Luis Diaz, ilaa.... KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anaamini Liverpool imefanya “biashara nzuri” kwa kupata faida kupitia mauzo ya Luis Diaz kwenda Bayern Munich lakini amesikitishwa na kuondoka kwake kutokana na...
Dortmund yamkomalia Sancho, Man United yashusha bei BAADA ya kuona hakuna timu iliyo tayari kutoa Pauni 25 milioni kwa ajili ya kumnunua winga wa kimatafa wa England, Jadon Sancho, mabosi wa Manchester United sasa wanaripotiwa kuwa wako tayari...
Wadau wafunguka utayari wa Tanzania kuandaa Chan 2024 ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kuanza kwa michuano ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN 2024), mjadala umeibuka kuhusu maandalizi ya Tanzania kama mwenyeji wa mashindano hayo kwa...
Mpoki ateuliwa mhariri Mtendaji Mkuu MCL KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mpoki Thomson kuwa mhariri mtendaji mkuu mpya ili kuimarisha mabadiliko ya kihabari kuelekea mfumo wa kidijitali unaoongozwa na ubunifu...
Pale Arsenal! Gyokeres anaomba asisti tu WAPINZANI wa Arsenal kwa msimu ujao, kazi mnayo. Unajua kwa nini, straika mpya wa miamba hiyo ya Emirates, Viktor Gyokeres baada ya kutua, amekuwa na ombi moja tu kutoka kwa nahodha wa kikosi na...
Sesko, Man United kuna kitu kinakuja NAFASI ya Manchester United kunasa saini ya straika Benjamin Sesko imezidi kuongezeka baada ya staa huyo mwenyewe kuvutiwa na mpango wa kwenda kukipiga kwenye kikosi cha miamba hiyo ya Old Trafford.