Arajiga aandika historia kwa kadi nyekundu CHAN 2024 Jana refa Ahmed Arajiga alichezesha kwa mara ya kwanza mechi ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) ambapo alikuwa refa wa kati wa mchezo baina ya Algeria na Niger...
EPL 2025/25 imeanza kibabe sana YES. Mzigo ulirudi rasmi wiki iliyopita. Waliolia wamelia, waliocheka wamecheka, lakini mbali ya mato-keo ambayo yalitokea kwa timu mbalimbali, pia kuna rekodi kibao zilizowekwa na timu pamona na...
Rekodi mbovu... Man United ya Amorim ni hovyo KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameweka rekodi mbaya Ligi Kuu England ya kuwa kocha aliyepoteza mechi nyingi zaidi kati ya 28 walizosimamia, huku mwenyewe akidai ubora upo.
William Saliba, Real Madrid ndo basi tena REAL Madrid inadaiwa kukwama katika mpango wao wa kutaka kumsajili beki kisiki wa Arsenal William Saliba baada ya ofa yao ya kutaka kufanya mabadilishano ya wachezaji kukataliwa na klabu yake.
MAGOFU: Viwanja hivi imebaki historia SOKA ni mchezo wenye historia ndefu. Viwanja vinavyotumika huwa ni sehemu ya alama ya historia hiyo ambapo watu hushuhudia furaha, huzuni na kumbukumbu zinazoishi milele.
Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo CHAN 2024 MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo.
Arajiga apewa mechi ya lawama CHAN, mbongo mwingine uhakika Hatimaye Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemkumbuka refa Ahmed Arajiga wa Tanzania baada ya kumpanga kuchezesha mechi ya mwisho ya kundi C ya CHAN 2024 baina ya Algeria na Niger, leo...
Arsenal wawasiliana na wawakilishi wa Frenkie de Jong RASMI Arsenal imewasiliana na wawakilishi wa kiungo wa Barcelona, Frenkie de Jong, 28, kwa ajili ya kumsajili katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Arteta: Gyokeres? Bado kidogo tulieni KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema ushindi wa Arsenal wa 1-0 dhidi ya Manchester United ulikuwa kama 'mchezo wa mpira wa kikapu' na hali hiyo haikumpa nafasi Viktor Gyokeres kuonyesha makali...
Kipigo kizito cha Vasco da Gama chamliza Neymar STAA wa Santos, Neymar alionekana akilia kwa uchungu baada ya timu yake kupokea kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa Vasco da Gama wikiendi iliyopita.