Maema aiwahi Simba Misri KIUNGO mpya wa Simba, Neo Maema ataungana na kikosi cha timu hiyo kambini jijini Cairo nchini Misri leo tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya.
Kariakoo Dabi kufungua pazia la Ligi Kuu Bara Septemba 16 Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025/26 utapigwa Septemba 16, 2025 jijini Dar es Salaam.
Sterling pasua kichwa Chelsea CHELSEA imepanga kumtoa tena kwa mkopo Raheem Sterling huku ikipambana kuwapiga bei mastaa 10 kabla ya dirisha la usajli kufungwa.
MKEKA TAYARI: Magwiji watoa utabiri mapema EPL GARY Neville na Jamie Carragher wametoa utabiri wao wa mambo ya Ligi Kuu England yatakavyokuwa msimu huu wa 2025-26 huku wakipingana kwenye maeneo kadhaa.
Mara Paap! Vardy katua Napoli STRAIKA Jamie Vardy huenda akabamba dili matata kwenda kujiunga na Napoli ya Italia kutokana na mabingwa hao wa Italia kuhitaji saini ya mshambuliaji huyo asiyekuwa na timu kwa sasa.
Donnarumma anasubiri mlangoni Man United MANCHESTER United imepata tumaini jipya la kupata pesa kuiwezesha kumsajili Gianluigi Donnarumma kupitia Andre Onana anayesakwa na Inter Milan.
Mikel Arteta hajamaliza kusajili mjue! KOCHA Mikel Arteta bado anataka kuboresha kikosi chake kwenye wingi ya kushoto, lakini atahitaji kupiga bei mastaa kadhaa ili kuweza kusajili.
Andre Onana atua katika anga za Inter Milan Ulaya INTER Milan inamfuatilia kwa karibu kipa wa Manchester United na timu ya taifa ya Cameroon, Andre Onana, ambaye anahusishwa kuwa katika mpango wa kuachana na Mashetani Wekundu katika dirisha hili.
Duh! Sikia hii ya Gyokeres BEKI wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher ameshangaza wengi kudai kocha Mikel Arteta hatamtumia straika mpya Viktor Gyokeres katika mechi kubwa za Arsenal msimu huu.
Mwandishi Mwananchi, Sharon Sauwa afariki dunia Mwanahabari mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumanne Agosti 19, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya...