Wamiliki wa timu za NBA wanaoongoza kwa mshiko Kundi maarufu la hip hop Wu-Tang Clan liliwahi kuimba “cash rules everything around me.” likimaanisha pesa ndo mtawala wa kila kitu na ni wazi kwamba biti hili linaweza kutumika kuelezea maisha...
FIFA yairuhusu Fountain Gate kusajili nje ya dirisha la usajili Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeridhia klabu ya Fountain Gate kufanya usajili nje ya dirisha la usajili
Arsenal kuhamia Wembley kupisha maboresho Uwanja wa Emirates KLABU ya Arsenal huenda ikahamishia mechi zake zotw kwenye Uwanja wa Wembley, ili kupisha maboresho ya Uwanja wa Emirates, kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka kwa The Telegraph.
Tajiri Brooklyn Earick akataa kuiuza Tottenham TAJIRI Brooklyn Earick ameamua kuondoa rasmi ofa yake ya Pauni 4.5 bilioni ya kuinunua klabu ya Tottenham Hotspur, baada ya familia ya Lewis kusisitiza hawatoiuza kwa pesa yoyote ile.
KMKM, Azam kuna mtu atashangazwa, rekodi zinaongea KIMAHESABU hadi sasa Tanzania imeshajihakikishia nafasi moja kati ya nne za kutinga makundi ya michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa msimu huu.
Harry Kane afunguka kurudi England KAPTENI wa timu ya taifa ya England, Harry Kane, 32, amefuta tetesi za kutaka kurejea tena England na kusisitiza yupo tayari kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia.
Bayern Munich kufanya umafia kwa Guehi BAYERN Munich imehusishwa na mpango wa kufanya shambulizi la kushtukiza la kumsajili beki wa Crystal Palace, Marc Guehi.
Juventus, Barcelona zinapigana vikumbo kwa Bernardo Silva BARCELONA na Juventus zimepanga kumsajili kiungo wa Manchester City, Bernardo Silva,31, ambaye pia anawindwa na timu za Saudi Arabia zikiwamo Al-Ahli, Al-Qadsiah na Al-Nassr.
Peter Lammens amkosha Schmeichel GWIJI wa Manchester United, Peter Schmeichel ametoa maoni yake kuhusu kipa mpya wa klabu hiyo, Senne Lammens alifanya vile ambavyo kipa wa timu kubwa kama hiyo alitakiwa kucheza.