Tumerudi tena, karibu sana, tulikumiss pia Tunashukuru kwa uvumilivu wako wakati tulipokuwa nje ya mtandao. Sasa tuna furaha kubwa kutangaza #TumerudiMtandaoni! Kaa tayari kupata habari na taarifa za kuaminika. Tembelea kurasa zetu za...
Real Madrid yaipongeza Barcelona kubeba taji Klabu ya Real Madrid imeipongeza Barcelona kwa kutwaa ubingwa wa La Liga msimu huu 2024/25.
Awesu, Simba ni suala la muda tu Simba inadaiwa kuwa mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Awesu Awesu kutoka KMC kwa mkataba wa miaka miwili.
Rubby aanza mwaka kwa mkwara Msanii wa Bongo Fleva Ruby amesema yuko mbioni kuolewa na hatua za ndoa zimeshaanza kufanyika.
Uncle Shamte ajitoa ishu ya Mzee Nyange shabiki na mdau kujaribu kutoa maoni yake kuhusu habari nzima. Akijibu swali la mwandishi lililouliza namna siri alifichua mama Dangote ilivyomgusa, Uncle Shamte amesema haijabadilisha...
Hojlund Napoli, Osimhen Man United STRAIKA wa Manchester United, Rasmus Hojlund amewekwa kwenye rada ya Napoli na huenda dili lake likamhusisha straika wa Kinigeria, Victor Osimhen, imeelezwa.
PRIME Mkude afichua siri jezi namba 20 aliotakiwa kupwe. Mtu wa karibu wa Mkude anayefahamikia zaidi kama Nungunungu, alisema jamaa alikataa kutumia namba nyingine, kwa vile namba 20 amekuwa akiitumia kwa muda mrefu na katika...
Messi atajwatajwa Ligi Kuu England NDOTO za supastaa, Lionel Messi kucheza Kombe la Dunia 2026 akiwa kwenye viwango bora kabisa linaweza kumsukuma kwenda kucheza soka kwenye Ligi Kuu England akiwa na umri wa miaka 38.
Deco atajwa sababu ya Xavi kuondoka nyuma ya pazia. Balague alisema wakati Deco anaondoka klabuni kama mchezaji, yeye na Xavi walikuwa hawana maelewano mazuri na Pep Guardiola alipofika, alifanya kuondoka kwa Deco na Ronaldinho kuwa...