Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Nyota Njombe Mji walilia posho

Njombe. Wachezaji wa Njombe Mji wamekatishwa tamaa na kitendo cha viongozi wa timu hiyo kutowapa posho kwenye mchezo uliopita dhidi ya Yanga.

Wakizungumza na mwandishi kambini kwao hapa Njombe, nyota hao wamesema baada ya kunyimwa posho kwenye mechi dhidi ya Yanga, hawafahamu ni lini watapewa posho tena.

Nyota mmoja raia wa Nigeria, alisema kitendo cha kutopewa chochote kimewavunja imani kabisa.

"Tuliamini kwamba mechi na Yanga ambayo ina mapato makubwa tutapewa posho lakini tumetolewa kapa, inavunja moyo sana," alisema mshambuliaji huyo.