Simba, Yanga kurudi na ndege moja
Baadhi ya nyota wa Simba na Yanga leo Agosti 23 wamegongana uwanja wa ndege wa Mohamed V uliopo jijini Casablanca, Morocco na wote wanarudi na ndege moja.
Wachezaji hao wengine ni wale ambao wameitwa kutumikia timu za taifa katika mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2022.
Endelea kufuatilia mitandao yetu kwa taarifa zaidi