Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Simba, Yanga kurudi na ndege moja

Baadhi ya nyota wa Simba na Yanga leo Agosti 23 wamegongana uwanja wa  ndege wa Mohamed V uliopo jijini Casablanca, Morocco na wote wanarudi na ndege moja.

Wachezaji hao wengine ni wale ambao wameitwa kutumikia timu za taifa katika mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2022.


Endelea kufuatilia mitandao yetu kwa taarifa zaidi