Hugo Ekitike awapa faraja Liverpool MASHABIKI wa Liverpool wamepata taarifa ya kutia moyo kuhusu maendeleo ya mshambuliaji Hugo Ekitike baada ya nyota huyo kuonekana hadharani katika michuano ya Wimbledon akiendelea na safari ya...
PRIME Kilichoinyima Simba ubingwa Ligi Kuu hiki hapa! Mangungu afunguka SIMBA SC iliingia msimu wa 2025-2026 ikiwa na dhamira ya kushinda taji kubwa la mashindano ya ndani baada ya kufanya maandalizi makubwa na kuwekeza kwenye kikosi chenye mchanganyiko wa uzoefu na...
Kigari cha Neymar ‘chazua gumzo’ Marekani NYOTA wa Brazil, Neymar ameonekana akitumia kigari 'skuta ya umeme' katika Hifadhi ya Burudani ya Universal Orlando Resort nchini Marekani, siku chache tu baada ya Brazil kuondolewa kwenye Kombe...
Polisi yatanguliza mguu mmoja Ligi Kuu, ikiirarua Prisons TIMU ya Polisi Tanzania imetanguliza mguu mmoja kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kuwapiga maafande wa Magereza, Tanzania Prisons kwa mabao 4-0 ikijiweka sehemu nzuri ya kufuzu.
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Timu ya Chipukizi yambeba Gamera BAADA ya timu Wembe kutia nia ya kumtaka aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’, sasa upepo umegeuka na kocha huyo msimu ujao atainoa Chipukizi iliyopo kisiwani Pemba.
Kocha KVZ apiga mkwara Kagame Cup WAKATI mabingwa wa Ligi Kuu Zanzibar, KVZ wakipangwa kundi C katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Kagame Cup), kocha mkuu wa timu hiyo, Hababuu Ali amesema wamejipinga...
ZFF kujifunza kupitia AFCON 2027 MWENYEKITI wa Kamati ya Fedha na Mipango wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Awadh Maulid Mwita, amesema kupitia Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2027, wanaamini...
Pamba Jiji yaanza na Baraza ikipishana na kinara wa mabao ikiahidi kurudi upya Wakati Pamba Jiji ikianza maandalizi ya msimu ujao, vigogo wa timu hiyo wamemuwahi Kocha Mkuu, Francis Baraza kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja, huku wakipishana na mkali wa mabao msimu uliopita.
Sheria mpya VAR yaanza na Embolo MSHAMBULIAJI wa Uswisi, Breel Embolo, ameandika historia isiyotamaniwa baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kutolewa nje kwa kadi nyekundu kutokana na matumizi ya sheria mpya ya VAR inayoruhusu...