Messi aitosa Argentina! atangaza kustaafu soka la kimataifa LIONEL Messi ametangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Argentina, kufuatia kipigo cha timu hiyo dhidi ya Hispania katika fainali ya Kombe la Dunia mwezi uliopita.
Athari ya dawa kwenye nywele KUNA watu wanaingia saluni na kusema, “Nataka nywele zikae hivi,” bila hata kuuliza dawa inayowekwa kichwani inaweza kufanya nini baada ya muda. Uzuri wa nywele unapendeza, lakini wakati mwingine...
Yanga yaonywa CAFCL YANGA imeanza msimu kwa kishindo, lakini staa wa zamani wa timu hiyo, Sekilojo Chambua, amesema bado kuna eneo moja ambalo mabingwa hao wanapaswa kulifanyia kazi haraka kabla ya kuingia kwenye...
KISIWA CHAMAUTI - 37 ILIPOISHIA Hewa ile ilikuwa inaniliwaza kuliko manukato ambayo hujitia mwilini mwake. “Nitasubiri. Sina la kufanya” nikamwambia kwa sauti nzito ya huzuni. “Tutakutana mahabuba wangu.
ZFF yafungua ukurasa wa soka la kidijitali SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limefungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa soka baada ya kuingia mkataba wa ushirikiano na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), unaolenga kuharakisha...
Waamuzi 53 kazini Ligi Kuu Zanzibar WAAMUZI 53 wamepewa jukumu la kusimamia mechi za Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026/27, huku Kamati ya Waamuzi ikilenga kuhakikisha ushindani huo unaendeshwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za soka.
KVZ yacheza dakika 450 bila ushindi MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, KVZ wameianza safari ya kutetea ubingwa wake na maandalizi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa namna ya kushangaza baada ya kucheza mechi tano sawa na dakika...
PRIME Hivi zile ‘command’ za ratiba Ligi Kuu zimefutika? Wakati tukiwa kwenye kipindi cha kujadili changamoto za mpira wa miguu kwenye kituo kimoja cha televisheni, iliwekwa video ya rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumzia...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Usajili huu: wapinzani wa Arsenal wataweza kuwapoka taji? ARSENAL imeanza msimu mpya wa Ligi Kuu England kwa ushindi katika mechi zake mbili za kwanza, huku dirisha la usajili likifungwa ikiwaacha wakiwa katika hali nzuri ya kuendeleza ubabe wao na...