Chelsea yamnasa beki Mtaliano CHELSEA imethibitisha kumsajili beki wa Italia mwenye umri wa miaka 21, Marco Palestra, kutoka Atalanta.
Mexico yaanza kumtisha Thomas Tuchel WAKATI England ikifuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia ambapo inakwenda kukabiliana na Mexico huko Mexico City, kocha mkuu wa kikosi hicho, Thomas Tuchel, amesema wanatarajia kukabiliana na...
Dili iliyokufa -34 ILIPOISHIA “Ukija siku hiyo ya tatu ndiyo nitakupa dawa hiyo. Siwezikutoa dawa zote kwa pamoja, zinaweza kumchanganya akili” “Sasa lini ataanza kubadilika” “Haitachukua muda. Utaanza kuona...
18 waitwa Kabaddi Zanzibar RAIS wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abdalla Juma ametangaza majina ya wachezaji 18 watakaounda Timu ya Taifa ya wanaume kwa mwaka 2026, itakayoiwakilisha Zanzibar katika Mashindano...
Khatma kocha wa kwanza mwanamke ZPL LICHA ya New King kushuka daraja msimu wa 2025-2026 ilipomaliza nafasi ya 13, lakini Khatma Khamis Mwalimu maarufu Betina, ameandika historia ya kuwa kocha mkuu wa kwanza wa kike kufundisha timu...
Uungwana na ushabiki bora katika soka WAKATI tukiendelea na hekaheka za mashindano ya Kombe la Dunia 2026 yanayofanyika Canada, Marekani na Mexico katika hatua ya mtoano, Tanzania jana Yanga ilitangazwa bingwa wa Ligi Kuu Bara 2026.
Mkenya presha yaanza Mtibwa Sugar KICHAPO cha mabao 2-1 ilichokipata Mtibwa Sugar dhidi ya Tanzania Prisons, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya, Yusuf Chippo kusema anahitaji miujiza zaidi ya kuinusuru timu hiyo katika...
Bondia Tyson Fury kuzichapa na Wach BONDIA Tyson Fury amethibitisha atarejea ulingoni baadaye mwezi huu kwa pambano moja la mwisho la maandalizi kabla ya kukutana na Anthony Joshua, ambapo atapambana na bondia wa uzito wa juu...