Simba yabadilishiwa uwanja Botswana Mchezo kati ya Jwaneng Galaxy na Simba wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya pili ambao awali ulipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Botswana, sasa utachezwa kwenye Uwanja wa Obed Itani...
Simba ile ile, wachezaji wale wale, michuano ndio tofAuti KAMA bao la penalti laini ya Saido Ntibazonkiza dhidi ya Asec Mimosas lingesimama kwa dakika zote tisini si ajabu mashabiki na viongozi wa Simba wangerudi katika dunia yao ya njozi kwamba bado...
Cadena anajua chakufanya Simba KAIMU kocha mkuu wa Simba, Daniel Cadena amesema wana mlima mrefu kwenye dakika 180 za ligi ya mabigwa hatua ya makundi ugenini huku akisisitiza kuwa wamejiandaa kushindana na sio...
Yanga yaja na mkakati mpya, Gamondi afunguka YANGA Jumamosi itarudi Kimataifa. Itakuwa uwanja wa Mkapa kuwakabirisha Al Ahly na kocha Miguel Gamondi amesema anakazi kubwa kuhakikisha washambuliaji wake wanatumia vyema nafasi za kufunga ili...
PRIME Kagera ukizubaa unaachwa BENCHI la ufundi la Kagera Sugar, limewachimba mkwara wachezaji wa timu hiyo likiwaambia kwamba yeyote atakayezubaa na kushindwa kufanya kazi zake kwa ufanisi, basi ajue ataachwa katika dirisha...
Simba yabadilishiwa uwanja Botswana Mchezo kati ya Jwaneng Galaxy na Simba wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya pili ambao awali ulipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Botswana, sasa utachezwa kwenye Uwanja wa Obed Itani...
Amrouche kuchukua wengine Zanzibar SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limeandaa michezo miwili maalum ya mchanganyiko wa wachezaji wanaofanya vizuri kwa sasa katika Ligi kuu Soka Zanzibar. Lengo la Michezo hiyo ni kumpa nafasi...
Mwamuzi achezea kichapo, mechi yavunjika Zanzibar MCHEZO wa Ligi Kuu Zanzibar kati ya Kundemba na Zimamoto umeshindwa kumalizika baada mwamuzi wa pembeni kupata kipigo kutoka kwa mashabiki. Pambano hilo lililazimika kusimamishwa na mwamuzi wa...
PRIME Hata michezo mingine Zanzibar ilitisha pia! KWA miaka mingi hadi miaka ya 1970 Zanzibar ilikuwa kitovu cha michezo katika Afrika ya Mashariki na Kati. Hii ilitokana na visiwa hivi kuwa na watu wa makabila yote walioshiriki kila mchezo...
Yanga iliomba wachezaji watatu Simba NOVEMBA 24, 2023 ilikuwa siku ya kihistoria kwa klabu ya kihistoria kwenye mashindano ya kihistoria. Ni siku ambayo klabu ya soka ya Yanga ya Tanzania ilikuwa ikirejea kwenye hatua ya makundi ya...
Murang’a Seal wanafukuza ubingwa kimya kimya HUU ni msimu wao wa kwanza wanakipiga Ligi Kuu Kenya na baada ya mechi 10, Murang’a Seal wapo kwenye mix mbio za ubingwa. Chini ya kocha mzoefu Gabriel ‘Kingi’ Njoroge aliyechukua mikoba ya...
Onana azidi kutesa makipa EPL Pamoja na Manchester United kuwa miongoni mwa timu zilizoruhusu mabao mengi kwenye Ligi Kuu England, kipa wa timu hiyo, Mcameroon Andre Onana anaongoza kwa 'Cleensheet' na kuwaacha mbali makipa...