Bukayo Saka afunguka, atupia hat-trick MSHAMBULIAJI Bukayo Saka ameibuka shujaa wa England baada ya kufunga mabao matatu na kuiongoza timu hiyo kutwaa medali ya shaba ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa kusisimua wa mabao 6-4 dhidi ya...
Mohamed Salah akaribia kutua Besiktas MWANDISHI maarufu wa masuala ya usajili, Fabrizio Romano, amethibitisha kuwa mazungumzo kati ya Mohamed Salah na klabu ya Besiktas yanaendelea, licha ya klabu hiyo kutoa taarifa ya kupinga kwamba...
Kiungo Yanga aibuka kwenye ndondo SAA chache baada ya kiungo mpya wa Yanga, Juma Issa Abushiri, kutambulisha juzi aliibukia kwenye mchezo wa ndondo kwenye mashindano ya Imbeju Ndondo Cup na timu yake ya Mzimuni FC kuchapwa bao...
Dili iliyokufa - 45 ILIPOISHIA “Maneno ya kijinga sana. Hebu kiondoe haraka. Wakati mganga anakiburuta kichanja hicho kukiweka pembeni, polisi huyo alikisukuma kwa nguvu na kukipindua. Polisi mwingine...
KVZ yaanza kushusha mashine mpya MABINGWA wa Ligi Kuu Zanzibar 2025-2026, KVZ, wameanza kutambulisha mashine mpya ndani ya kikosi hicho, kwa ajili ya kuongeza nguvu kuelekea msimu wa 2026-2027 ambapo timu hiyo itashiriki...
Kocha Uhamiaji ni suala la muda kutua JKU TIMU ya JKU ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo na Kocha Abdulsaleh Mohamed kwa ajili ya kuinoa timu hiyo msimu wa 2026-2027.
Uwanja wa Afcon wafikia asilimia 65 WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema ujenzi wa mradi wa Uwanja wa michezo wa Zanzibar (Fumba Studium) unaendelea vizuri na hakuna sehemu ya mradi...
Simba yabeba kiungo Mkenya SIMBA Queens imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo Mkenya, Diana Wacera kutoka kwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Kenya, Kenya Police...
Bukayo Saka afunguka, atupia hat-trick MSHAMBULIAJI Bukayo Saka ameibuka shujaa wa England baada ya kufunga mabao matatu na kuiongoza timu hiyo kutwaa medali ya shaba ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa kusisimua wa mabao 6-4 dhidi ya...