Ibenge afurahishwa na kiwango cha Simba, Yanga Singida CAF KOCHA Mkuu wa Azam Florent Ibenge amesema amefurahishwa na kiwango ambacho kimeonyeshwa na timu za Tanzania kwenye michuano ya CAF.
Hawa wanaweza wasirudi Bongo TANZANIA haikuanza vizuri katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia la Wanawake U-20 baada ya kupoteza kwa mabao 4-1 dhidi ya Brazil, lakini ndani ya matokeo hayo kuna wachezaji walioonyesha...
Tanzanite Queens macho yote kwa Canada BAADA ya kupoteza mechi mbili za kundi B katika fainali za Kombe la Dunia chini ya umri wa miaka 20, timu ya Taifa ya Tanzania (Tanzanite Queens) sasa inaelekeza macho yote kwenye mechi ya mwisho...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 3 UTANGULIZI Almasi mwenyewe ndiye aliyetoa jina hilo kumpa mjuu wake. Alipofahamishwa kuwa mkwe wake alikuwa amejifungua alikwenda hospitalini alikokuwa amelazwa Hilda. Pamoja na mambo mengine...
Chipukizi hali tete Ligi Kuu Zanzibar TIMU ya Chipukizi, imeanza msimu wa 2026-2027 katika Ligi Kuu Zanzibar vibaya baada ya kuambulia vipigo viwili na sare moja.
Safu ya ushambuliaji yaipasua kichwa Mlandege KOCHA Msaidizi wa Mlandege, Sabri China amesema udhaifu katika eneo la ushambuliaji pamoja na hofu iliyowakumba wachezaji wakati wa mchezo ni miongoni mwa sababu zilizochangia timu hiyo kupoteza...
Tatu zaanza kinyonge Ligi Kuu Zanzibar WAKATI mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) ukikamilika Septemba 4, 2026, huku mzunguko wa tatu ukianza jana Jumapili, timu tatu zimeonekana kuanza kinyonge baada ya kushindwa kupata pointi.
Rekodi nzuri, lakini je ni bondia bora? KWENYE ngumi za kulipwa kuna kitu ambacho wakati mwingine kinaweza kumchanganya shabiki. Bondia anaweza kuwa na rekodi nzuri, ushindi wa kutosha na hata idadi kubwa ya KO, lakini ukianza...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Kipa wa ligi ya England aula ufalme Uganda KIPA Mganda anayechezea timu ya Daraja la Tisa England amechaguliwa kuwa mfalme ajaye wa ufalme wa jadi nchini Uganda, ingawa huenda akakataa nafasi hiyo iwapo atapenda.