Kocha wa Bandari FC aitaka Ligi Kuu Bara WAKATI Bandari Tanzania ikiendelea kujifua kwa ajili ya Championship msimu ujao, kocha mkuu wa timu hiyo, Habibu Kondo amesema matarajio yake ni kuipeleka Ligi Kuu kama alivyowahi kufanya akiwa...
Sophia: Wazazi walisema ‘no’, ‘uppercut’ si mchezo UKIMTAZAMA Sofia Ramadhani Hamisi akiwa nje ya ulingo huenda usiamini kwamba binti huyo ni mmoja wa mabondia wa kike wanaokuja juu kwa kasi katika ndondi za kulipwa nchini Tanzania
Nyota Azam FC alia na ugumu Ligi Kuu BAADA ya kufunga bao lake la kwanza kwenye mechi dhidi ya Pamba Jiji, winga wa Azam, Henock Molia ameshindwa kuzuia furaha yake, huku akitaja Ligi ya Tanzania kuwa ni miongoni mwa mashindano magumu.
Balaa la Sopu, Nado usipime Azam VIWANGO bora vinavyoonyeshwa na wachezaji wa Azam FC, Abdul Suleiman ‘Sopu’ na Idd Seleman ‘Nado’ vimeanza kutoa mwanga mpya kwa kikosi hicho katika harakati za kusaka taji la Ligi Kuu Bara...
KISIWA CHAMAUTI - 30 ILIPOISHIA Wakati tumepumzika Shazume akawa anahimiza tuondoke. “Tumeshakunywa uji sasa tunaweza kwenda” “Tusubiri kidogo nifikirie pa kuwapeleka” Yasmin akamwambia. Baada ya kusubiri kwa...
Mafunzo inavyojipanga kuikabili Zimamoto ZPL WAKATI Agosti 30, 2027 Mafunzo ikifungua msimu wa 2026-2027 kwa kucheza mechi ya Ligi Kuu Zanzibar dhidi ya Zimamoto, timu hiyo imeanza mikwara kwa kushusha wapambanaji wapya.
ZBLP yataja sababu kuongeza viwanja BODI ya Ligi Zanzibar (ZBL), imetaja sababu ya kuongeza viwanja vitatu ambavyo ni Kinyikani ulioko Pemba, Pangatupu na Kitogani vya Unguja ambavyo vitakatumika kwa mechi za Ligi Kuu Zanzibar...
Zanzibar yasuka mikakati ya AFCON 2027 SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeendelea kuweka mikakati ya kuonesha ipo tayari kuwa mwenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027) kwa kuboresha miundombinu ya michezo na...
Kuvia damu kwa wanamichezo, Sababu, dalili na matibabu LIGI mbalimbali za kimataifa Ikiwamo EPL, La Liga na Bundesliga zilirudi mwishoni mwa wiki iiliyopita. Vile ligi kuu ya Tanzania bara NBC 2026 nayo imeendelea kwa mechi kadhaa za katikati ya wiki.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Arsenal, Man city waziteka tuzo PFA England. ARSENAL na Manchester City wametawala kikosi bora cha msimu cha Ligi Kuu England kilichochaguliwa na Chama cha Wanasoka Kitaalamu England (PFA), huku wachezaji tisa kati ya 11 wakitokea...