Celtic yamsajili nyota aliyetesa Argentina Kombe la Dunia 2026 Celtic imemsajili winga wa Real Oviedo, Haissem Hassan, aliyeng'ara katika mchezo dhidi ya Argentina na kuisaidia Misri kusogea karibu na kuiondoa timu hiyo iliyokuwa ikiongozwa na Lionel Messi...
Kisa Enzo: Chelsea yaitega Man City CHELSEA imeipa Manchester City hadi saa 11:00 kesho Ijumaa jioni kukamilisha dili la kumsajili kiungo Enzo Fernandez kwa ada ya pauni 120 milioni.
400 kushiriki mbio za baiskeli TANZANIA imefungua ukurasa mpya katika mchezo wa baiskeli baada ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Chama cha Baiskeli Tanzania (CHABATA), kuzindua mashindano mapya ya Vodacom Coastal Classic...
KISIWA CHA MAUTI - 16 ILIPOISHIA Wakati nazungumza na Edda akaja yule mrakibu wa polisi na kuniita ofisini kwake. Tulipoingia ofisini kwake akanikaribisha kwenye kiti. Muda ule sauti yake ilikuwa ni ya kawaida.
Vipaji Zanzibar vyateka Simba, Yanga, Azam KASI za klabu za Simba, Yanga na Azam FC kuweka nguvu kusajili wachezaji wazawa kutoka Tanzania Visiwani kwa miaka ya hivi karibuni, inaweza ikapunguza idadi kubwa ya nyota wanaotoka Bara kupata...
Mbeki ahamia KVZ, aweka hadi ya kutetea ubingwa BAADA ya kuitumikia Mlandege kwa misimu mitano mfulululizo, beki wa kushoto, Said Mussa Said maarufu kwa jina la Mbeki, anakwenda kukiwasha KVZ ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa...
ZFF yapewa darasa la soka ajira LICHA ya Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Zanzibar (ZFF) na Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar (ZBL) kupewa pongezi kwa utendaji kazi, pia wametakiwa kukaa pamoja na klabu kuzifahamisha umuhimu wa kuwa na...
Maboresho ya kanuni na kanuni mpya toleo la 2026 MASHABIKI wa soka nchini na klabu za Ligi Kuu Bara, zinapaswa kukaa mkao wa kula! Hii ni baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuja kivingine kupitia Maboresho ya Kanuni za Toleo la 2026...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Bihina shujaa wa Cameroon WAFCON KIPA wa Cameroon, Michaely Bihina, ameendelea kuwa shujaa wa WAFCON 2026 baada ya kuisaidia timu hiyo kuwatupa nje wenyeji Morocco kwa mikwaju ya penalti 3-1 kufuatia suluhu katika dakika 120.