Kinda Mtibwa aipasua kichwa Azam FC KLABU ya Azam imeingia rasmi katika mbio za kuwania saini ya nahodha na beki wa kati wa Mtibwa Sugar, Evody Haroun (18), ambaye amekuwa mmoja wa wachezaji vijana wanaofanya vizuri msimu huu wa...
Mashabiki Japan watoa somo kubwa nje ya uwanja, Simba,Yanga kunalakujifunza VUTA picha siku moja mashabiki wa Simba na Yanga wakimaliza Dabi ya Kariakoo kisha wakabaki uwanjani kuokota chupa, makaratasi na taka nyingine kabla ya kuondoka. Inaweza kuonekana kama hadithi...
Pacha wa Pacome Zouzoua aweka rekodi Kombe la Dunia WINGA Yan Diomande ambaye kwa mara ya kwanza aliitwa na kucheza sambamba na Pacome Zouzoua wa Yanga, ameweka historia mpya kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka mchezaji mwenye umri mdogo...
Jeanine, Shikangwa katika vita ya kiatu WPL KAMA ulikuwa unajua Ligi Kuu ya Wanawake imetamatika baada ya Simba Queens kukabidhiwa kombe lao basi nikupe pole, kuna ligi nyingine ya mfungaji bora imeshika kasi.andayisenga
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Mwamuzi wa kike Mmarekani kuandika rekodi Kombe la Dunia MWAMUZI wa kike kutoka Marekani, Tori Penso anatarajiwa kuandika rekodi baada ya leo Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kumteua kusimamia mechi ya pili ya kundi A Kombe la Dunia kati ya...