Kutoka Diouf hadi Mane, Senegal yaota kurudia maajabu dhidi ya Ufaransa UNAKUMBUKA wakati Senegal ilipowashangaza mabingwa wa dunia watetezi, Ufaransa? Ni ile gemu ya Ufaransa 0-1 Senegal ya mwaka 2002. Inarudiwa tena leo. Ikiwa ni zaidi ya miongo miwili tangu...
Kinda Mtibwa aipasua kichwa Azam FC KLABU ya Azam imeingia rasmi katika mbio za kuwania saini ya nahodha na beki wa kati wa Mtibwa Sugar, Evody Haroun (18), ambaye amekuwa mmoja wa wachezaji vijana wanaofanya vizuri msimu huu wa...
Kutoka Diouf hadi Mane, Senegal yaota kurudia maajabu dhidi ya Ufaransa UNAKUMBUKA wakati Senegal ilipowashangaza mabingwa wa dunia watetezi, Ufaransa? Ni ile gemu ya Ufaransa 0-1 Senegal ya mwaka 2002. Inarudiwa tena leo. Ikiwa ni zaidi ya miongo miwili tangu...
Pacha wa Pacome Zouzoua aweka rekodi Kombe la Dunia WINGA Yan Diomande ambaye kwa mara ya kwanza aliitwa na kucheza sambamba na Pacome Zouzoua wa Yanga, ameweka historia mpya kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka mchezaji mwenye umri mdogo...
Mwamnyeto aona mwanga Yanga NAHODHA wa Yanga, Bakari Mwamnyeto amesema ushindi walioupata dhidi ya Mashujaa wa mabao 2-0 umezidi kuwaongezea morali ya kupambana na kuyasogelea malengo ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara...
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
PRIME Kutoka Nonda hadi Mayele hii ni Yanga ya kimataifa KESHO Jumatano, Juni 17, timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo itakuwa na kibarua cha kukabiliana na Ureno katika mechi yao ya ufunguzi wa kampeni za mwaka huu. Ndani ya kikosi hicho...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Beki Chelsea ala shavu Kombe la Dunia dakika za jionii BEKI wa kulia wa Klabu ya Chelsea, Trevoh Chalobah amechaguliwa dakika za jioni kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya England, kinachojianda kuanza kampeni ya Kombe la Dunia kwa mechi yake ya...