Hersi: Msimu uliopita tuliteseka, msimu huu raha zitarudi Rais wa Yanga, Hersi Said, amekiri kuwa licha ya timu hiyo kutwaa baadhi ya mataji msimu uliopita, haikuwa katika kiwango kilichozoeleka, akisema walipitia kipindi kigumu kilichowafanya wao na...
Ridhiwani achukua mikoba ya Mwigulu Yanga Yanga imefanya mabadiliko ya bodi yake ya wadhamini, ikiridhia kumuweka kando Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba katika eneo la ujumbe, nafasi yake ikichukuliwa na Ridhiwani Kikwete.
Vigogo Simba kukutana Dar kesho KLABU ya Simba, imetangaza kuwa, kesho Jumatatu kutakuwa na kikao cha Bodi ya Wakurugenzi kujadili ajenda ya Mkutano Mkuu maalum wa Wanachama.
KISIWA CHA MAUTI -6 “Siwezi kuona ni ndogo kwa sababu sijahitaji pesa. Mimi nimekuja hapa kwa ahadi yetu ya jana kwamba angenipa ufafanuzi wa madai niliyomuandikia”
Sheha amrithi AbdulSaleh Uhamiaji BAADA ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Uhamiaji, AbdulSaleh Mohamed kujiunga na JKU, timu hiyo imepata mrithi wa kuinoa msimu ujao wa 2026-2027.
Wadau wamlilia Kocha Guliti KUFUATIA kifo cha Kocha Khamis Aman Khamis maarufu Guliti, wadau mbalimbali visiwani Zanzibar wakiongozwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), wametuma salamu zao za pole.
Gamera apewa miwili Chipukizi TIMU ya Chipukizi imemtambulisha rasmi Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’ kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Kocha Barcelona amfagilia Rashford KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amethibisha kuwa Marcus Rashford hataendelea kubaki Camp Nou baada ya kumaliza kipindi chake cha mkopo, akisema atamkumbuka kutokana na mchango mkubwa alioutoa...