PRIME Wawili waruhusiwa kurudi Yanga WACHEZAJI wa Yanga, Clement Mzize na Dickson Job, wamepewa ruhusa na madaktari waliokuwa wakiwasimamia nchini Afrika Kusini kuanza mazoezi pamoja na kikosi hicho, hatua inayowafungulia mlango wa...
Josiah hana haraka na Mkude BAADA ya kukaa nje kwa muda mrefu, mashabiki wanaosubiri kumuona Jonas Mkude akirejea uwanjani watalazimika kusubiri zaidi, baada ya kocha Aman Josiah wa Mashujaa kusema hana mpango wa...
Dube anafanya balaa huko ALIYEKUWA mshambuliaji nyota wa Yanga, Prince Dube ameendeleza kiwango bora katika Ligi Kuu ya Zimbabwe akiwa na kikosi cha Hardrock FC, tangu alipoachana na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu...
Dube anafanya balaa huko ALIYEKUWA mshambuliaji nyota wa Yanga, Prince Dube ameendeleza kiwango bora katika Ligi Kuu ya Zimbabwe akiwa na kikosi cha Hardrock FC, tangu alipoachana na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu...
KISIWA CHA UMAUTI - 39 ILIPOISHIA Haukupita muda polisi wakafika. Nikaambiwa niende kituo cha polisi kuandikisha maelezo yangu kwa vile tulipotea na chombo baharini na wenzangu walifikwa na umauti. Polisi hao...
SMZ na mkakati wa usalama AFCON 2027 VIKOSI vya ulinzi na usalama vimetakiwa kuanza ujuzi maalumu utakaotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa lengo la kudumisha usalama kipindi chote cha mashindano...
Raskazone yajipanga upya ikiokota nne Pemba TIMU ya Raskazone imefanikiwa kuondoka na alama nne ugenini katika michezo yake miwili ya Ligi Kuu Zanzibar iliyocheza kisiwani Pemba.
Kocha JKU afichua siri ya kupambana hadi mwisho Kocha Mkuu wa JKU, Abdul-Saleh Mohammed, amesema kurejesha mabao mawili ndani ya muda mfupi si jambo la kushangaza bali ni matokeo ya kazi kubwa waliyoifanya katika uwanja wa mazoezi.
Nyota waliogeuka maadui wa timu zao za zamani MSIMU wa 2026-2027 wa Ligi Kuu Bara, umeanza kwa kasi ya aina yake kutokana na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu zote 16, zinazoshiriki, sambamba na wachezaji mbalimbali ambao wamekuwa na...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Colombia ina malengo ya ubingwa Kombe la Dunia U20 KIUNGO wa Colombia, Juana Ortegon, amesema kikosi hicho kimejipanga kupambana hadi mwisho katika Kombe la Dunia la Wanawake la U-20 litakalofanyika Poland, huku akifichua kuwa ndoto yao kubwa ni...