Atletico Madrid yampeleka Alvarez arsenal ATLETICO Madrid ipo tayari kumuuza mshambuliaji wake Julian Alvarez kwa Arsenal, lakini nyota huyo wa Argentina hana mpango wa kuhamia Emirates, kwa mujibu wa taarifa kutoka Hispania.
Ronaldinho arejea kusaka bao 300 GWIJI wa soka wa Brazil, Ronaldinho ametangaza kurejea uwanjani akiwa na umri wa miaka 46, akijiunga na Ravenna inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu Italia (Serie C), huku akitamani kufikisha mabao...
Makata: Mbona bado, subirini muone muziki KIWANGO walichoonesha nyota wa Polisi Tanzania katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu, zimemuibua Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makata, akieleza kuwa bado muziki unaendelea akiwataka...
KISIWA CHAMAUTI - 25 ILIPOISHIA Ile shuka ya mwenzangu aliyokuwa akiiburuza ilitokeza nje ya mvungu wa kitanda. Harishi akaiona! Tukaona mkono wake ukishika ncha ya shuka na kuivuta. Jamaa akaiachia. Shuka yote...
Kocha Sheha aahidi makubwa Uhamiaji KOCHA MKUU wa timu ya Uhamiaji, Sheha Khamis amepanga kufanyakazi kwa umakini ili kusimamia malengo mapya ya msimu wa 2026-2027.
BlackSailors yatambia usajili TIMU ya ya BlackSailors imeanza hatua mpya ya maandalizi kwa kuwatambulisha wachezaji wake watakaokuwa sehemu ya kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano.
Serikali kuzipiga tafu KVZ, KMKM kimataifa NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema KVZ na KMKM zina jukumu kubwa la kuiwakilisha Zanzibar katika mashindano ya kimataifa, hivyo Serikali...
Cheki utabiri chama lako EPL linavyoanza LIGI Kuu England (EPL), inaanza leo usiku. lakini Supercomputer ya Opta imetoa utabiri wake wa mechi za kwanza za msimu wa 2026/27, huku timu zote zikianza msimu mpya bila matokeo ya nyuma kubeba...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Ngoma ngumu! Kocha Alonso akwepa swali la Enzo Fernandez Kocha wa Chelsea, Xabi Alonso, amekataa kutoa uhakika kwamba kiungo Enzo Fernandez ataendelea kubaki Stamford Bridge msimu huu wa joto, lakini anaamini mchezaji huyo anaweza kuwanyamazisha...