Chukwu avuta Sh1.8 bilioni arabuni KIUNGO wa zamani wa Singida Black Stars, Morice Chukwu, amejiunga na Jwaya SC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Lebanon kwa mkataba wa miaka miwili, uhamisho unaotajwa kuwa amepiga pesa ndefu.
MIUJIZA! Ubingwa EPL unapopishana na Ngao ya Jamii NGAO ya Jamii ni mchezo wa jadi wa kufungua msimu wa soka duniani kote katika miaka ya karibuni. Lakini, unaweza kuwa kiashiria kizuri cha timu itakayoshinda taji la Ligi Kuu England (EPL)?
Coastal ilivyoinasa saini ya kipa JKU aliyehitajika Simba ALIYEKUWA kipa namba moja wa timu ya JKU, Ahmed Issa, tayari amejiunga na Coastal Union kwa ajili ya kuongeza nguvu golini kwa msimu wa 2026-2027, huku ikibainika namna klabu hiyo ilivyofanikiwa...
Coastal ilivyoinasa saini ya kipa JKU aliyehitajika Simba ALIYEKUWA kipa namba moja wa timu ya JKU, Ahmed Issa, tayari amejiunga na Coastal Union kwa ajili ya kuongeza nguvu golini kwa msimu wa 2026-2027, huku ikibainika namna klabu hiyo ilivyofanikiwa...
KISIWA CHA MAUTI - 22 ILIPOISHIA Kwanza tulinyata kwenye madirisha. Tukawa tunachungulia na kutega masikio kusikiliza. Hatukusikia sauti yoyote. Kulikuwa kimya. Ndipo tukaamua tuingie. Tukaingia ndani ya jumba hilo...
Coastal ilivyoinasa saini ya kipa JKU aliyehitajika Simba ALIYEKUWA kipa namba moja wa timu ya JKU, Ahmed Issa, tayari amejiunga na Coastal Union kwa ajili ya kuongeza nguvu golini kwa msimu wa 2026-2027, huku ikibainika namna klabu hiyo ilivyofanikiwa...
Uwanja wa AFCON Zanzibar wafikia asilimia 81 Wakati uwanja utakotumika katika Fainali za Mataifa ya Africa (Afcon) ukifikia asilimia 81, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza kuridhishwa na hatua zilizofikiwa katika ujenzi huo.
Mlandege yaja na sera ya vijana BAADA ya kutema wachezaji 15, timu ya Mlandege imeanza kushusha mitambo mipya kuelekea msimu wa 2026-2027 huku ikiwa na sera ya kujenga kikosi cha vijana zaidi.
Real Madrid mzigoni ikiulizwa mara tano JOSE Mourinho amerejea Real Madrid, Vinicius Junior amejifunga na klabu hiyo kwa mkataba mpya, huku Kylian Mbappe akitoka kushinda Kiatu cha Dhahabu katika Kombe la Dunia. Kuna maswali matano...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Aliyemkosoa Infantino atimuliwa AFISA Mkuu wa Uendeshaji wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Kevin Lamour, ameondoka madarakani wiki chache baada ya kukosoa hadharani uongozi wa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kuhusu...