Messi aitosa Argentina! atangaza kustaafu soka la kimataifa LIONEL Messi ametangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Argentina, kufuatia kipigo cha timu hiyo dhidi ya Hispania katika fainali ya Kombe la Dunia mwezi uliopita.
Athari ya dawa kwenye nywele KUNA watu wanaingia saluni na kusema, “Nataka nywele zikae hivi,” bila hata kuuliza dawa inayowekwa kichwani inaweza kufanya nini baada ya muda. Uzuri wa nywele unapendeza, lakini wakati mwingine...
Makata afichua jambo Polisi Tanzania LICHA ya Polisi Tanzania kupoteza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2026-2027, baada ya kuchapwa mabao 4-2, na Singida Black Stars, ila kocha mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makata amesifu...
KISIWA CHA UMAUTI -36 ILIPOISHIA Baada ya maofisa hao kumsalimia Yasmin walithibitisha kwamba alikuwa binti wa Rais Sharif Abdulatif aliyepotea nchini mwao katika mazingira ya kutatanisha.
ZFF yafungua ukurasa wa soka la kidijitali SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limefungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa soka baada ya kuingia mkataba wa ushirikiano na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), unaolenga kuharakisha...
Waamuzi 53 kazini Ligi Kuu Zanzibar WAAMUZI 53 wamepewa jukumu la kusimamia mechi za Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026/27, huku Kamati ya Waamuzi ikilenga kuhakikisha ushindani huo unaendeshwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za soka.
KVZ yacheza dakika 450 bila ushindi MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, KVZ wameianza safari ya kutetea ubingwa wake na maandalizi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa namna ya kushangaza baada ya kucheza mechi tano sawa na dakika...
Athari ya dawa kwenye nywele KUNA watu wanaingia saluni na kusema, “Nataka nywele zikae hivi,” bila hata kuuliza dawa inayowekwa kichwani inaweza kufanya nini baada ya muda. Uzuri wa nywele unapendeza, lakini wakati mwingine...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
McTominay kufanyiwa upasuaji wa moyo Kiungo wa Napoli na timu ya taifa ya Scotland, Scott McTominay, anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa moyo, baada ya kubainika kuwa na tatizo dogo la mpangilio wa mapigo ya moyo.