Ashangaa shabiki kumtunza fedha kwa ushindi US Open KUONA mashabiki Tanzania wakimtunza fedha mchezaji akiwafurahisha uwanjani si habari, lakini Marekani imekuwa tukio kubwa baada ya shabiki mmoja kumpa zawadi ya fedha mcheza tenisi kwenye...
Utata mwingine! Kauli ya Enzo Fernandez baada ya kusajiliwa Man City KIUNGO wa Argentina, Enzo Fernandez, ameingia katika hatari ya kuwakasirisha mashabiki wa Chelsea baada ya kudai kwamba kwa muda mrefu alikuwa akiota kucheza katika klabu kubwa kama Manchester City.
KISIWA CHAMAUTI - 38 ILIPOISHIA Huko Unguja tukafanikiwa kukutana na Rais wa Zanzibar. “Jana ndege ya Comoro ilikuja kumchukua Yasmin kumrudisha kwao. Alitaka aondoke na mimi lakini sikuwa na paspoti na pia sikuwa...
20 wabeba matumaini ya KVZ Libya KIKOSI cha wachezaji 20 cha KVZ kimebeba matumaini ya Zanzibar katika kuanza vizuri safari ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kinapojiandaa kuikabili Al Swehly SC ya Libya katika mchezo wa mkondo wa...
Kocha Polisi Zanzibar afichua jambo POLISI Zanzibar inayoshiriki Ligi Kuu, imetaja siri ya ushindi wao dhidi ya KVZ ambao ni mabingwa watetezi wa ligi hiyo.
CAF yaipongeza Zanzibar maandalizi ya AFCON 2027 ZANZIBAR imepongezwa katika kuimarisha huduma za afya na huduma za dharura kuelekea Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.
NJIA NGUMU: Yanga, Simba wakomaa Ligi ya Mabingwa Afrika KUFUZU hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ni miongoni mwa mitihani migumu zaidi katika soka la klabu Afrika, huku timu zikianza kampeni zao mwishoni mwa wiki hii zikilenga kufika hatua...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Miaka 10: Man United yavunja rekodi ya usajili MANCHESTER United imeibuka kuwa klabu iliyotumia fedha nyingi zaidi kwa usajili kuliko mapato iliyopata kupitia mauzo ya wachezaji katika muongo mmoja uliopita, licha ya Chelsea kutumia karibu...