Chipukizi hali tete Ligi Kuu Zanzibar TIMU ya Chipukizi, imeanza msimu wa 2026-2027 katika Ligi Kuu Zanzibar vibaya baada ya kuambulia vipigo viwili na sare moja.
Safu ya ushambuliaji yaipasua kichwa Mlandege KOCHA Msaidizi wa Mlandege, Sabri China amesema udhaifu katika eneo la ushambuliaji pamoja na hofu iliyowakumba wachezaji wakati wa mchezo ni miongoni mwa sababu zilizochangia timu hiyo kupoteza...
Tanzanite Queens kujiuliza upya kwa England leo BAADA ya timu ya taifa ya wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite Queens kuanza vibaya katika mechi yake ya kwanza ya Kundi B dhidi ya Brazil kwa kupokea kichapo cha mabao 4-1, sasa leo inashuka...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 2 UTANGULIZI Mtu aliyekuwa karibu yake aligeuka ghafla na kumpiga kwa kitu kizito kichwani. Frenk alipiga yowe akaanguka hapo hapo akiwa amepotewa na fahamu. Mtu aliyempiga aliinama akamshika...
Chipukizi hali tete Ligi Kuu Zanzibar TIMU ya Chipukizi, imeanza msimu wa 2026-2027 katika Ligi Kuu Zanzibar vibaya baada ya kuambulia vipigo viwili na sare moja.
Safu ya ushambuliaji yaipasua kichwa Mlandege KOCHA Msaidizi wa Mlandege, Sabri China amesema udhaifu katika eneo la ushambuliaji pamoja na hofu iliyowakumba wachezaji wakati wa mchezo ni miongoni mwa sababu zilizochangia timu hiyo kupoteza...
Tatu zaanza kinyonge Ligi Kuu Zanzibar WAKATI mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) ukikamilika Septemba 4, 2026, huku mzunguko wa tatu ukianza jana Jumapili, timu tatu zimeonekana kuanza kinyonge baada ya kushindwa kupata pointi.
Namba zinavyowapa ubingwa wababe Ulaya 2026-27 NANI kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu wa 2026-27? Je, PSG itaweza kutwaa taji hilo mara tatu mfululizo? Je, Arsenal hatimaye inaweza kushinda taji ambalo limekuwa likiikwepa siku zote?
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Serge Aurier aibukia timu ya daraja la saba BEKI wa zamani wa Tottenham, Serge Aurier yuko mbioni kufanya uamuzi wa kushangaza katika kipindi hiki cha mwisho wa soka lake, akitarajiwa kujiunga na klabu ya daraja la saba nchini Ufaransa.