Moallin achekelea mabao ya Dube, Depu KUNA ukame uliowapitia washambuliaji wawili wa Yanga, Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ sasa jamaa wametupia huko timu za taifa na kumfanya kocha wao Abdihamid Moalin amechekelea akisema ni...
Rweyemamu afichua kile watu wasichokijua kuhusu Ajibu KAMA kuna kitu anakiamini meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu basi ni kufanya majukumu yake ni ukweli na unyoofu wa mambo, vitu vinavyomsaidia kurahisha kazi yake na kujenga mahusiano mazuri na...
Mexico yaanza kwa ushindi Kombe la Dunia, kadi nyekundu zikitawala Katika mchezo huo wa ufunguzi uliochezwa kwenye dimba la Azteca, Mexico City wenyeji Mexico walianza kuandika bao la uongozi mapema dakika ya tisa wakitumia vema makosa yaliyofanywa na beki Yaya...
Chipo, Mayanga kazi ipo Sokoine Pamoja na kukiri ugumu wa mechi za ugenini, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuph Chipo amesema mchezo dhidi ya Mbeya City kiu yao ni pointi tatu ili kujiimarisha kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara.
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Tumuunge mkono Kocha Mkwasa Kocha Boniface Mkwasa ameonekana amefungua kituo cha soka kwa vijana wadogo.
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Aibu FIFA Kombe la Dunia viti kibao vikibaki wazi IDADI kubwa ya viti visivyo na watu ilionekana wakati Korea Kusini ilipogeuza matokeo na kuifunga Czech katika mechi ya pili ya Kombe la Dunia iliyopigwa jana, katika tukio lililobua mjadala...