Manduta asaini mmoja Uturuki KIUNGO mshambuliaji wa Tanzania, Nasma Manduta amesaini mkataba wa mwaka mmoja katika klabu ya Antalya Spor ya Uturuki akitokea Ceasiaa Queens ya Iringa.
Opah aanza vizuri Saudi Arabia NYOTA wa Tanzania, Opah Clement ameanza vizuri Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia, baada ya kufunga bao katika mchezo wake wa kwanza akiwa na klabu ya Al Ula SC.
Nyota IAA SC aota ufungaji bora MSHAMBULIAJI mpya wa IAA SC ya jijini, Arusha, Boniface Mwanjonde amesema miongoni mwa malengo yake msimu huu akiwa na kikosi hicho ni kuibuka mfungaji bora katika Ligi ya Championship, licha ya...
Mauaji ya kutisha - Sehemu ya 14 UTANGULIZI “Yule mganga alikuwa anawapa dawa ili wanapofanya ujambazi wasikamatwe na polisi.” “Alikuwa anawapa na dawa gani nyingine?’ “Ni hizo hizo tu za kufanikisha ujambazi wao.” “Huyo...
Mlandege wababe Dabi ya Mtaa Mlandege imeendelea na ubabe katika Dabi ya Mtaa baada ya kuisulubu Muembe Makumbi bao 1-0, mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 18, 2026.
Kocha Zimamoto afichua siri ZPL KOCHA Mkuu wa Zimamoto, Abdallah Mohammed ‘Bares’ amesema kutokana na malengo yake ya kuhitaji ushindi kila mechi anayocheza, amekuwa akiingia kwa mitindo tofauti ili mpinzani asimsome kirahisi.
Ligi ya viziwi yazidi kunoga Zanzibar LIGI ya Viziwi Zanzibar, imeendelea kushika kasi kisiwani hapa, baada ya mchezo kati ya Vuka na Wakambozi kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Mapumziko ni ahueni au majanga kwa makocha EPL NI ahueni au majanga kwa Michael Carrick, Alvaro Arbeloa na makocha wengine wanaokabiliwa na presha, huku mapumziko ya wiki tatu yakitoa nafasi kwa klabu kufanya mabadiliko.