Mkataba wa Bacca, Yanga kiboko YANGA imefanya maboresho makubwa kwenye mkataba mpya wa beki Ibrahim Hamad ‘Bacca’, yaliyozingatia masilahi mapema ya mchezaji huyo, huku nyuma ya pazia ikitajwa Simba kuwa chanzo.
KVZ, Simba hazichekani Kagame Cup LICHA ya kuwa na historia tofauti katika soka la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Simba na KVZ zimejikuta zikiwa na rekodi moja isiyovutia kwenye michuano ya Kombe la CECAFA Kagame baada ya...
Simba, Yanga zimejua siri za CAF WAKATI macho ya mashabiki wa soka Afrika Mashariki na Kati yakielekezwa Kigali, Rwanda, kwenye mashindano ya Kombe la CECAFA Kagame, miongoni mwa mijadala inayoendelea ni maendeleo ya soka ndani...
Mikasa ya Edmundo 'The Animal' NI katika sherehe ya siku ya kwanza ya kuzaliwa ya mwanawe, mmoja wa wanasoka maarufu zaidi duniani aliyezua gumzo kwa kumpa bia na whisky sokwe aitwaye Pedrinho, aliyekuwa amevalishwa tracksuit.
Simba yatambulisha jezi ya miaka 90 KLABU ya Simba jana ilitambulisha jezi mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, huku mzabuni wa jezi hizo Joseph Rwegasira akisema uzi huo umezingatia klabu hiyo kusherehekea miaka 90 tangu...
KISIWA CHA MAUTI – Sehemu ya 5 KWA KIFUPI Nikamkubalia na kutoka ofisini mwake. Nikarudi nyumbani. Siku iliyofuatia nikaenda kazini kwangu. Nilifanya kazi hadi saa nane nikitazamia Makita au meneja wa hoteli yake...
Gamera apewa miwili Chipukizi TIMU ya Chipukizi imemtambulisha rasmi Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’ kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.
Guardiola Mnene aipa neno ZFF KOCHA Hassan Makame ‘Guardiola Mnene’ amelishauri Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kuwekeza ngazi ya vijana kwa lengo la kuviendeleza vipaji vyao.
Tuzo mbili zambeba Yassir Zanzibar MCHEZAJI wa Mpira wa Mikono Zanzibar, Yassir Juma Iddi, amesema tuzo mbili za mchezaji bora alizozipata katika mashindano ya UMITASHUMTA mwaka 2022 na 2023 zimempa alichokitamani muda mrefu.
Babra Banda na rekodi kibao HAKUNA ubishi juu ya ubora wa Timu ya Taifa ya wanawake, Zambia unachangiwa na ubora wa wachezaji wake wanaokipiga kwenye Ligi kubwa barani Ulaya.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Rayon yatinga nusu kibabe Cecafa, Al Hilal ikipenyea mlango mwingine RAYON Sports ya Rwanda imeendelea kuthibitisha ubora kwenye Kombe la CECAFA Kagame baada ya kutinga nusu fainali kwa rekodi ya ushindi kwa asilimia 100 kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al...