Arsenal yamgeukia Victor Osimhen Arsenal inataraji kukutana na upinzani katika harakati zake za kumsajili mshambuliaji wa Galatasaray, Victor Osimhen, iwapo itaamua kuendelea na mpango wa kumnasa nyota huyo.
Ronaldo aonyesha pete ndoa mazoezini MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akiwa na pete yake ya ndoa mkononi amepokea mapokezi ya upendo kutoka kwa wachezaji wenzake wa Al-Nassr baada ya kurejea kambini kufuatia kufunga ndoa na Georgina...
Nyota Azam arejea Tunisia BAADA ya Azam FC kuachana na aliyekuwa winga wa kikosi hicho, Baraket Hmidi, kwa sasa nyota huyo amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Klabu ya Stade Tunisien ya kwao Tunisia kwa msimu ujao wa...
Waamuzi 65 wafuzu mtihani utimamu wa mwili WAAMUZI 73, wakiwemo wanawake 12, wamefanya mtihani wa utimamu wa mwili katika Uwanja wa Mao Zedong kisiwani Unguja, huku 65 wakifanikiwa kufuzu na 18 wakishindwa.
Vipaji Zanzibar vyateka Simba, Yanga, Azam KASI za klabu za Simba, Yanga na Azam FC kuweka nguvu kusajili wachezaji wazawa kutoka Tanzania Visiwani kwa miaka ya hivi karibuni, inaweza ikapunguza idadi kubwa ya nyota wanaotoka Bara kupata...
Mbeki ahamia KVZ, aweka hadi ya kutetea ubingwa BAADA ya kuitumikia Mlandege kwa misimu mitano mfulululizo, beki wa kushoto, Said Mussa Said maarufu kwa jina la Mbeki, anakwenda kukiwasha KVZ ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Bondia afariki baada ya miaka 11 ya kupambania uhai BONDIA maarufu wa Puerto Rico, Prichard Colón, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 33, Alhamisi ya Agosti 13, 2026. Kifo chake kimethibitishwa na baba yake, Richard Colón, kupitia mitandao ya...