Kiungo Yanga atimkia Mashujaa ALIYEKUWA kiungo wa Yanga Princess, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ amejiunga na Mashujaa Queens kwa mkataba wa mwaka mmoja kama mchezaji huru.
Irankunda aondoka Watford, ajiunga Sporting MSHAMBULIAJI wa Watford, Nestory Irankunda, ameondoka klabuni hapo baada ya msimu mmoja na kujiunga na vigogo wa Ureno, Sporting Lisbon, kwa uhamisho wa moja kwa moja.
KISIWA CHAMAUTI - 22 ILIPOISHIA Wakati Yasmin anatuhadithia kile kisa, nilimuuliza, “Umetuambia huyo jini anafyonza damu za watu na kuwaua, je, wewe utaendelea kuwa salama kweli?” “Mimi nimeshakuwa mke wake.
Mlandege yaja na sera ya vijana BAADA ya kutema wachezaji 15, timu ya Mlandege imeanza kushusha mitambo mipya kuelekea msimu wa 2026-2027 huku ikiwa na sera ya kujenga kikosi cha vijana zaidi.
New Amaan Complex wafungwa SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeufunga kwa muda Uwanja wa New Amaan Complex kwa ajili ya kurekebisha eneo la kuchezea kwa kupanda nyasi mpya.
Suluhu Academy kutumika AFCON WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema Uwanja wa Suluhu Sports Academy ni miongoni mwa viwanja vitakavyotumika katika Fainali za Kombe la Mataifa ya...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Cameroon yatwaa taji la Kwanza WAFCON TIMU ya Taifa ya Cameroon imeandika historia katika soka la wanawake Afrika baada ya kutwaa kwa mara ya kwanza taji la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, kufuatia ushindi wa...