AFCON 2027: Viwanja vya mazoezi vyatoa sura mpya Wakati macho ya wengi yakielekezwa kwenye ujenzi na ukarabati wa viwanja vitakavyotumika kwenye Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027, Tanzania imeanza kukamilisha picha nyingine...
Santos arejea uwanjani, aitaka Stars MSHAMBULIAJI wa Tanzania, Fahmar Santos amerejea rasmi uwanjani baada ya kukaa nje kwa takribani msimu mzima akiuguza jeraha la goti, huku sasa akiwa na shauku ya kuanza upya safari yake ya soka...
Morocco aanza kwa kishindo TRA United, Pamba Jiji hali tete KOCHA Mkuu wa TRA United, Hemed Suleiman 'Morocco', ameanza vyema kampeni yake ya kukiongoza kikosi hicho, baada ya leo kushinda mabao 3-1 dhidi ya Pamba Jiji, ikiwa ni ushindi wake wa kwanza...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 7 UTANGULIZI “Umeshajitokeza kwa wazazi wake?” Mama Almasi akauliza. “Nimeanza kumleta huku kwetu kwanza atambulike kisha atanifikisha kwao.” “Basi ufanye hivyo haraka ili tuweze kuendelea na...
KVZ yatupwa nje CAF ikichapwa 3-0 nyumbani ASSWEHLY SC imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada kuondoka na ushindi wa mabao 3-0 katika ardhi ya Zanzibar katika mchezo wa marudiano dhidi ya KVZ uliochezwa leo...
JKU yaanza kunoga Ligi Kuu Zanzibar KOCHA MKUU wa JKU, AbdulSaleh Mohammed amesema timu hiyo imeanza kuwa bora baada ya kuifunga Wembe mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Mao A, Unguja na amefurahi kuvuna pointi tatu za mchezo huo.
Raskazone yaipigia hesabu kali KMKM Raskazone imesema licha ya ugeni wao kwenye Ligi Kuu Zanzibar, lakini bado wanaendelea kujiimarisha ili kupata matokeo mazuri dhidi ya KMKM.
AFCON 2027: Viwanja vya mazoezi vyatoa sura mpya Wakati macho ya wengi yakielekezwa kwenye ujenzi na ukarabati wa viwanja vitakavyotumika kwenye Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027, Tanzania imeanza kukamilisha picha nyingine...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Arsenal yaivizia saini ya Nico Paz MABINGWA wa England, Arsenal inafuatilia kwa karibu kiungo mshambuliaji wa Como, Nico Paz, 22, huku kocha Mikel Arteta akitafuta wachezaji wa aina hiyo watakaoweza kuimarisha kikosi chake kwa...