Vita tatu Ligi Kuu Bara LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumamosi ambapo timu sita zitakuwa viwanjani kuamua vita ya pointi na kujiweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo.
Nani kubeba Bundesliga? Hawa wanashuka daraja! JE, Bayern Munich wanaweza kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga)? Ni timu zipi zitafuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya? Na je, klabu zilizopanda daraja zinaweza kuepuka kushuka?
Vita tatu Ligi Kuu Bara LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumamosi ambapo timu sita zitakuwa viwanjani kuamua vita ya pointi na kujiweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo.
KISIWA CHAMAUTI - 32 ILIPOISHIA Nilimuangalia tu Yasmin, sikumjibu kitu tena. Nikaendelea kunywa uji huku nikiwaza kama ni kweli alikuwa amejitolea nafsi yake kwa ajili yangu. Maneno yake yalionesha alichokuwa...
Ilipofikia ishu ya Mlandege, Pamba Jiji TIMU ya Mlandege inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imewasilisha malalamiko Shirikisho la Mpira wa Tanzanzia (TFF) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) ikidai Pamba Jiji imewatumia...
Polisi SC watakiwa kuongeza umakini MWENYEKITI wa Polisi SC ya Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi, ACP Omar Khamis Abdalla, ameikumbusha timu hiyo kuongeza umakini kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar 2026-2027.
Mafundi watatu miguuni na vichwani wamo MAISHA katika ligi zote kubwa na ndogo Ulaya yameshaanza upya, na kuna kila dalili kwamba timu zinapishana kuusaka ufalme wa michuano hiyo. Lakini, msimu uliopita baadhi ya wachezaji walipitia...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Martinez kuikacha Villa, kutua Chelsea KIPA wa Argentina, Emiliano Martinez anakaribia kujiunga na Chelsea akitokea Aston Villa kwa ada ya pauni7.5 milioni, katika dili ambalo litakuwa la nne kuhusisha klabu hizo mbili katika dirisha...