PRIME Aucho aigomea Yanga, kuibukia huku! HAKUNA ubishi mashabiki wa Yanga wanafahamu kuna baadhi ya mashine zilizowapa heshima msimu uliopita kwa kutwaa mataji matano zinaweza kuondoka kwa ajili ya kusukwa upya kwa kikosi kijacho kwa...
Simba yarusha taulo kwa Tshabalala! UONGOZI wa klabu ya Simba ni kama umekubali ya ishe juu ya aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein 'Tshabalala' baada ya kukiri kushindwa kumuongezea mkataba mpya.
Senegal kuziba nafasi ya Congo Brazzaville mashindano ya CECAFA Timu ya Taifa ya Senegal itashiriki Mashindano maalum ya CECAFA yatakayo husisha mataifa manne kabla ya mashindano ya CHAN yanayotarajiwa kuchezwa Julai 21-27, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino...
Simba yawaita mapema kina Ahoua, Camara NYOTA wa Simba akiwamo Jean Charles Ahoua, Moussa Camara na wenzao wengine waitwa mapema kambini mwishoni mwa mwezi huu ili kujiandaa na maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026. Ofisa Habari wa...
Mbeumo, Manchester United mambo yazidi kuwa magumu MPANGO wa Manchester United kumsajili mshambuliaji wa Brentford na timu ya taifa ya Cameroon, Bryan Mbeumo, 25, umesimama kwa muda baada ya timu yake kuongeza bei hadi kufikia Pauni 70 milioni...
Simba yarusha taulo kwa Tshabalala! UONGOZI wa klabu ya Simba ni kama umekubali ya ishe juu ya aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein 'Tshabalala' baada ya kukiri kushindwa kumuongezea mkataba mpya.
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Kijo kocha mpya Zanzibar Sand Heroes SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limemteua Kijo Nadir Nyoni kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Soka la Ufukweni. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Juni 27, 2025 na Ofisa...
Sauti Sisters yazidi kulizamisha jahazi la Warriors Queens KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopokea Warriors Queens kutoka kwa Sauti Sisters, kimeifanya timu hiyo kuwa na hali mbaya zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar. Mchezo huo uliopigwa...
JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0.
PRIME Mo Dewji amechafua hali ya hewa KWA mara nyingine mwekezaji wa Simba, Mohamed ‘MO’ Dewji ameibuka tena kuzungumzia ufadhili kwa klabu hiyo kongwe, akisema katika kipindi cha kuanzia mwaka 2017 ameshatoa zaidi ya Sh80 bilioni...
Staa wa Yanga kuwania uenyekiti AFC Leopards SC Bonface Ambani, gwiji wa soka nchini Kenya na mchezaji wa zamani wa AFC Leopards, amezindua rasmi ilani yake ya kampeni iitwayo “IPOSIKU” leo Juni 26, 2025, katika ukumbi wa KCB Simba jijini...
Mbeumo, Manchester United mambo yazidi kuwa magumu MPANGO wa Manchester United kumsajili mshambuliaji wa Brentford na timu ya taifa ya Cameroon, Bryan Mbeumo, 25, umesimama kwa muda baada ya timu yake kuongeza bei hadi kufikia Pauni 70 milioni...
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi