Chama aipasua Simba, mabosi watoa msimamo KIKOSI cha Simba kipo jijini Dodoma kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara usiku wa leo dhidi ya wenyeji Dodoma Jiji, lakini mashabiki wa klabu hiyo wameingiwa na ubaridi kutokana na taarifa za...
PRIME Maswali tata tuzo za TFF 2023 GUMZO la tuzo za Ligi Kuu bado halijaisha kutokana na mambo mengi ambayo yalitokea pale mkoani Tanga. Ni jambo zuri kuona tuzo zinatolewa na wachezaji kadhaa wanashinda tuzo hizo, pongezi kwa...
PRIME Benchikha na wenzake shida iko hapa Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka jana, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo...
Yanga akili zote Sauzi WABABE wa soka nchini, Yanga janas usiku walikuwa uwanjani kupepetana na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini mabosi wa...
JIWE LA SIKU: Ishu ya Dube imejaa ukakasi hadi basi! KWA takriban wiki nzima kwenye soka nchini stori kubwa ilikuwa ni sakata la nyota wa Azam FC, Prince Dube aliyeondoka klabuni hapo, akitaka kwenda kutafuta changamoto kwengine. Inafikirisha. Dube...
PRIME Kazi imeanza, unabisha ulikuwepo? MSIMU wa 62 wa Ligi Kuu Bara unaanza leo kwa mechi mbili zitakazopigwa katika majiji ya Tanga na Dar es Salaam. Kupigwa kwa mechi hizo kunaashiria kuanza vita ya karibu miezi tisa...
Wakifunguliwa mlango wa kutokea Januari usishtuke! LIGI Kuu England imezidi kunoga kutokana na mchakamchaka wa kusaka ubingwa kuzidi kupamba moto. Manchester City mambo yao si mazuri kwa sasa, lakini bila ya shaka wakati dirisha la usajili la...
Si mchezo… Simba ya kibabe walipo kwa sasa HUKO mtaani kuna ka-ligi flani ka ubishi kanakoendelea miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa soka hasa wale Simba. Ubishani huo unahusu kikosi bora cha muda wote cha Simba tangu klabu hiyo...
PRIME Feisal, Simba kuna nini? ACHANA na stori zinazoendelea juu ya kuhusishwa na klabu za Simba na Yanga, kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amethibitisha kuwa yeye sio mchezaji wa mchezo mchezo kutokana...
PRIME Ligi Kuu yamoto… Wazawa, wageni wapangiwa vikosi LIGI Kuu Bara imesimama baada ya jana kupigwa mechi ya kiporo kati ya Simba na Dodoma Jiji, ili kupisha kalenda ya mechi za kimataifa kwa timu za taifa zinazochuana kusaka tiketi ya kufuzu...