Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9093 results for Mwandishi :

  1. Dah! Chelsea itakuwaje sasa

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amepata pigo kubwa baada ya mshambuliaji wake Nicolas Jackson kupata majeraha makubwa yatakayomweka nje ya uwanja kwa muda mrefu tofauti na ilivyoripotiwa hapo awali.

    Chelsea Pict
  2. Garnacho apiga bao la Fifa

    ALEJANDRO Garnacho ameshinda tuzo ya Fifa ya Bao Bora la Mwaka (Fifa Puskas) siku chache baada ya kupigwa chini kwenye kikosi cha Manchester United kilichocheza na Manchester City katika kipute...

  3. Kevin De Bruyne kambi kokote

    KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne ambaye anatarajiwa kuondoka mwisho wa msimu huu, amesema yupo tayari kupokea ofa ya kucheza kokote ifikapo dirisha lijalo la majira ya kiangazi hata...

    KBD Pict
  4. Waarabu wa Saudia wanamtaka Ancelotti

    MABOSI wa chama cha soka cha Saudi Arabia wanaripotiwa wapo kwenye mazungumzo na wawakilishi wa kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, ambaye huenda akaachana na timu yake mwisho wa msimu huu.

    ANCELOTTI Pict
  5. Luis Diaz, Bayern Munich mambo mazuri

    MABOSI wa Liverpool wako tayari kulegeza msimamo wao kuhusu Luis Diaz na kukubali ofa ya chini ya Euro 80 milioni kutoka kwa Bayern Munich katika dirisha hili.

    DIAZ Pict
  6. Martinez ni yeye tu

    KOCHA Ruben Amorim wa Manchester United ameshindwa kuwashawishi mabosi kumsajili kipa Emiliano Martinez, imeelezwa.

  7. Shujaa wa Chelsea ashangazwa na Trump

    SHUJAA wa Chelsea, Cole Palmer, amefunguka kuhusu kitendo kilichowashangaza wengi kutokana na uwepo wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wakati wakisherehekea kutwaa Kombe la Dunia la Klabu, jana...

    TRUMP Pict
  8. Arne Slot anaishi ndoto za Ancelotti

    NDIO. Kocha wa Liverpool, Arne Slot anaishi ndoto za kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti ambaye amekiri kwamba kuifundisha Liverpool ni ndoto yake ya muda mrefu.

  9. Salah kumpeleka Osimhen Saudi Arabia

    BAADA ya kufeli katika harakati zao za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah dirisha lijalo la majira ya kiangazi, matajiri wa Saudi Arabia, Al-Hilal wanaripotiwa kubadilisha...

    SAUDIA Pict
  10. Kocha Liverpool akanusha ishu ya Nunez

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepuuza madai kwamba hajamchezesha Darwin Nunez katika mechi kadhaa kwa sababu ya kifungu kilichomo kwenye mkataba wake ambacho kinaitaka Liverpool kuilipa klabu...

    NUNEZ Pict
Previous

Page 10 of 910

Next