Waarabu wa Saudia wanamtaka Ancelotti MABOSI wa chama cha soka cha Saudi Arabia wanaripotiwa wapo kwenye mazungumzo na wawakilishi wa kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, ambaye huenda akaachana na timu yake mwisho wa msimu huu.
Luis Diaz, Bayern Munich mambo mazuri MABOSI wa Liverpool wako tayari kulegeza msimamo wao kuhusu Luis Diaz na kukubali ofa ya chini ya Euro 80 milioni kutoka kwa Bayern Munich katika dirisha hili.
Martinez ni yeye tu KOCHA Ruben Amorim wa Manchester United ameshindwa kuwashawishi mabosi kumsajili kipa Emiliano Martinez, imeelezwa.
Shujaa wa Chelsea ashangazwa na Trump SHUJAA wa Chelsea, Cole Palmer, amefunguka kuhusu kitendo kilichowashangaza wengi kutokana na uwepo wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wakati wakisherehekea kutwaa Kombe la Dunia la Klabu, jana...
Arne Slot anaishi ndoto za Ancelotti NDIO. Kocha wa Liverpool, Arne Slot anaishi ndoto za kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti ambaye amekiri kwamba kuifundisha Liverpool ni ndoto yake ya muda mrefu.
Salah kumpeleka Osimhen Saudi Arabia BAADA ya kufeli katika harakati zao za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah dirisha lijalo la majira ya kiangazi, matajiri wa Saudi Arabia, Al-Hilal wanaripotiwa kubadilisha...
Kocha Liverpool akanusha ishu ya Nunez KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepuuza madai kwamba hajamchezesha Darwin Nunez katika mechi kadhaa kwa sababu ya kifungu kilichomo kwenye mkataba wake ambacho kinaitaka Liverpool kuilipa klabu...
Amorim anacheka tu kuhusu Mainoo KOCHA, Ruben Amorim amebaki akicheka tu mbele ya waandishi wa habari wakati walipojaribu kumwambia kiungo Kobbie Mainoo alipaswa kuchezeshwa kwenye mechi ya West Ham United.
Ratiba ngumu ya Mayweather yaahirisha pambano na Mike Tyson PAMBANO la Floyd Mayweather Jr na Mike Tyson lililotarajiwa kufanyika mapema mwaka huu inadaiwa kuahirishwa kutokana na ratiba ngumu ya Mayweather kwa mwaka huu.
Mashtaka 115 ya Man City, hukumu kusubiri mwisho wa msimu Hivi karibuni kumekuwa na taarifa zinazokinzana kuhusu lini uamuzi wa mwisho juu ya mashtaka 115 yanayoikabili Manchester City ambapo baadhi ya ripoti zinadai hukumu huenda ikatokea wakati wa...