Kwa nini Andoni Iraola anafaa EPL? KUFUATIA habari kwamba kocha Andoni Iraola ataondoka Bournemouth baada ya mkataba wake kuisha, masikio mengi yamekuwa makini kote katika Ligi Kuu England kujua anakokwenda.
Hispania; Kizazi kipya, ndoto mpya ubingwa wanautaka KOCHA wa timu ya taifa la Hispania, Luis de la Fuente tayari ametanga kikosi cha wachezaji 26 kitakachoiwakilisha Hispania kwenye Kombe la Dunia 2026 huku nyota chipukizi Lamine Yamal...
Mtego wa namba, ubora utakavyoamua Ballon d’Or WAKATI tuzo za Ballon d’Or mwaka huu zikiendeleza mjadala mpana wa ni nani atayechukua kwa mara ya kwanza zinapofanyika nje ya Paris, Ufaransa, mastaa sita wameendelea kung’ang’ania katika nafasi...
PRIME Kipa aishi na risasi mgongoni miaka 13 kali zikiwamo bunduki aina ya AK 47. Katika tukio hilo, watu watatu walipoteza maisha akiwamo dereva wa basi hilo, Mario Adjoua, Kocha msaidizi wa timu hiyo, Amelete Abalo na Mtangazaji na...
RIPOTI MAALUMU: Changamoto ya lishe kwa wanamichezo wa kike nchini maana asile vyakula vya mafuta, ila iwe kwenye vipimo stahiki. Kwa Tanzania hali ikoje? Kuhusu vyakula, Tanzania imebarikiwa kuwa aina zote za vyakula vinavyohitajika kwa mwanamichezo. Katika...
Mzimu wa Popadic ulivyoganda Simba MABOSI wa Simba kwa sasa wanakuna kichwa kwa ajili ya kumpata kocha mkuu wa kuchukua nafasi ya Mbrazili Roberto Oliveira ‘Robertinho’ a.k.a Beto waliyemfurusha hivi karibuni baada ya kipigo cha...
Simba yatawala ubingwa bara JANA tuliishia sehemu iliyoonyesha Simba imerejea jijini Dar es Salaam kutoka Misri na kupokewa kwa vaibu la aina yake, japo baadhi ya mashabiki wa klabu hiyo walifariki dunia na na wengine...
Singida Big Stars na bonge la sapraizi ILIPANDA Ligi Kuu Bara msimu huu kama DTB, lakini hakuna aliyeichukulia kwa uzito mkubwa pengine kwa sababu ilikuwa inayoka Ligi ya Championship. Fasta mabosi wake wakaibadilisha jina la kuiita...