PRIME Jota alivyokutana na mkewe maktaba ya sekondari LIVERPOOL, ENGLAND: BARABARA iliyomuua Diogo Jota ni hatari sana na kumekuwa na ajali za kutisha, kwa mujibu wa maelezo ya madereva na maofisa usalama wa wanaoishi eneo hilo. Kuna kona kali...
PRIME Faili la Yanga CAS kutibua kikao cha dabi Dar? MACHI 8, 2025, ilitarajiwa kuchezwa mechi ya Ligi Kuu Bara namba 184 kati ya Yanga dhidi ya Simba, lakini Bodi ya Ligi iliahirisha saa tano kabla ya kuanza kwa mchezo huo uliopangwa kuanza saa 1...
Azam vs Yanga, mechi ya kibingwa na ufundi mwingi Ukisikia mechi dume ndo hii. Ni mechi ya lawama vilevile. Lakini kama utapenda kuiita mechi ya kibingwa pia hautakosea, wakati watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, kesho Jumapili watakapokuwa wageni...
PRIME Dube aishi kifalme Dar, atengewa Sh1 bilioni LUGHA rahisi unayoweza kutumia ni kwamba Prince Dube anaishi kama mfalme ndani ya ardhi ya Jiji la Dar es Salaam. Pengine hakuwahi kufikiria kwenye maisha yake ya soka angekumbana na...
Mwananchi Day 2024… Nyie hamuogopi! NDIYO kaulimbiu iliyoko mtaani leo katika siku ambayo Yanga wana pati lao la Mwananchi Day kwenye Uwanja wa Mkapa. Wanatamba kikosi chao ni bandika bandua hasa kutokana na mastaa wazoefu...
MTU WA MPIRA: Naam, Azam FC sasa imekubali kurudi njia kuu HATIMAYE Azam FC imekubali kushindana tena katika soka letu. Imekubali mchana kweupe. Inatia matumaini sasa. Kwa miaka mingi Azam imekuwa ikiendeshwa kienyeji kama timu isiyokuwa na malengo.
MTU WA MASHABIKI: Huyu Mkude anastahili kujengewa mnara MAPEMA wiki hii Simba ilikuwa bize ikihitimisha wiki yao iliyonogeshwa na tamasha bab’kubwa la Simba Day. Ni tamasha lililonoga na kuwapa mzuka mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo kiasi cha...
Diva afunguka penzi lake kwa Neymar JUNI 28, mwaka huu, mmoja wa burudani za soka ulimwenguni, Neymar da Silva Santos Junior, ukipenda Neymar Jr au kifupi tu Neymar, alitupia picha kwenye akaunti yake ya Instagram, akiwa na mtoto...
Eti walibebwa? KUNA ubishi unaendelea mtaani juu ya uhalali wa Yanga kutwaa taji la Ligi Kuu Bara msimu huu. Kuna wale ambao wanaona Yanga alistahili na wengine wanabisha. Ubaya ni kwamba baadhi ya mashabiki wa...
YANGA : Ijitoe mhanga kuchangamsha ligi yetu SIKUTAKA kukurupuka kutoa maoni yangu kuhusiana na sakata la Azam TV mpaka nilivyofikiria kwanza