MTU WA MPIRA: Nani kasema Kapombe, Tshabalala wamezeeka?
HII nchi imejaa mambo ya ajabu mengi. Kila mtu ni mjuaji sana. Kuna watu wanajua siasa, burudani, soka, mambo ya kijamii na kila kitu. Watu wa ajabu sana. Ndio Tanzania.
Miaka ya nyuma kuna watu...