SIO POA... Hadithi, vifo, rekodi vyatawala PSG ikibeba ndoo WIKIENDI iliyopita lilifungwa rasmi pazia la Ligi ya Mabingwa Ulaya ambapo PSG ilitwaa taji hilo baada ya kuichapa Inter Milan kipigo kitakatifu cha mabao 5-0.
Simba katika fainali baada ya siku 11,494 SIMBA inashuka uwanjani usiku wa leo ikiwa ugenini kuvaana na RS Berkane ya Morocco katika mechi ya kibabe ya fainali inayopigwa Uwanja wa Manispaa ya Mji wa Berkane, nchini humo.
PRIME Kufuru, huu hapa mshahara wa Ibenge Azam MAMBO ni bambam kwa Wanalambalamba Azam FC baada ya kumalizana na aliyekuwa kocha mkuu wa Al Hilal Omdruman ya Sudan, Florent Ibenge, inayokipiga katika Ligi Kuu Mauritania kwa sasa, kwani...
KUNA KITU! Mastaa wa Ligi ya Ureno walivyonaswa na klabu za EPL ARSENAL inakaribia kwenye dili la kumsajili straika wa Sporting CP, Viktor Gyokeres.
PRIME Tshabalala Done Deal! HATA kabla saa 24 kutimia tangu alipowaaga mashabiki na wapenzi wa Simba, aliyekuwa beki wa kushoto na nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein 'Tshabalala' amehamia mtaa wa pili. Beki huyo...
PRIME Miezi 10 ya hasara kwa Fei Toto KWA wasiojua ni Jumamosi ya Oktoba 5, 2024, Feisal Salum 'Fei Toto' alitakiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili na Azam FC. Mkataba huo ulikuwa ukiunganisha na ule aliokuwa nao awali...
PIGWA UTOKE! Mtoano Ligi ya Mabingwa Ulaya moto umeanza kuwaka ILE hatua ya ngumi jiwe kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya sasa imefika. Ukipigwa mara ya kwanza, unapewa nafasi ya kujiuliza, ukishindwa tena kupindua mechi, imekula kwako. Unatupwa nje.
Yaliyojiri mkutano wa Waziri Kabudi, TFF, TPLB, Yanga na Simba Kwa Mkapa SWALI ambalo huko mtaani mashabiki wanajiuliza ni kwamba, hiyo mechi ya Kariakoo Dabi ipo au haipo? Hiyo ni baada ya kuahirishwa kwa mchezo huo namba 184 wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba...
TFF yakwepa mtego wa Ndumbaro Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayelazimishwa kuvaa jezi ya Simba wala Yanga ili aruhusiwe kuingia uwanjani wakati timu hizo zitakapocheza mechi zao za...
Ishu ya majeraha Azam iko hivi Katika toleo la Oktoba 16, 2023 la gazeti hili, ukurasa huu ulikuwa na taarifa yenye kichwa cha habari, AZAM FC IUTAZAME NA UPANDE HUU Upande ambao tulitaka Azam wautazame ni ule wa idara ya...