HAINA KUFELI: Soka limeokoa maisha ya mastaa hawa SOKA ni moja ya michezo inayolipa sana. Wanasoka wengi wamebadilisha maisha yao kutokana na mchezo huu. Wapo waliotokea katika maisha tofauti na wanatengeneza pesa kutokana na soka.
PRIME Sababu tatu zilizoiangusha Yanga CAS MABOSI wa Yanga inaelezwa jana waliitana na kujifungia ili kujadili hukumu ya kesi waliyoifungua Mahakama wa Kimataifa ya Usuluhishi ya Michezo (CAS), iliyotupiliwa mbali, huku zikitajwa sababu...
Wanasoka maarufu waliozomewa na mashabiki wao uwanjani BEKI wa kulia, Mwingereza Trent Alexander-Arnold ameingia kwenye orodha ya wanasoka waliowahi kuzomewa na mashabiki wao wenyewe wakati alipoingia kutokea benchini kwenye mechi ya Ligi Kuu...
Namba 9 bora England hawa hapa LONDON, ENGLAND: NANI straika bora kwenye Ligi Kuu England kwa sasa? Alexander Isak amehusika moja kwa moja kwenye mabao 29 kwenye ligi msimu huu, akifunga mara 23 na kuasisti mara sita. Yupo...
PRIME Karia anakaribia umakamu CAF Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) na baraza la soka Afrika Mashariki na Kati, CECAFA, Wallace Karia amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka (CAF).
PRIME PUMZI YA MOTO: Yanga, Simba zisitufanye tuidharau busara "Mpira wetu unaharibiwa na TFF kwa sababu wanatumia BUSARA badala ya kanuni."
Buriani Doye Moke, nenda kipa wa boli KIFO kimeumbwa, lakini hakizoeleki. Kifo kinauma kwa vile kinatengenisha wapendanao. Na bahati mbaya ni kwamba kifo hakikwepekwi.
PRIME Shikamoo Wananchi YANGA imefanikiwa kuzishinda mamlaka za mpira wa Tanzania...kuushinda mpira wa Tanzania. Kitendo cha kuwaangusha viongozi wa juu kabisa wa Bodi ya Ligi na TFF kina maana kwamba Yanga wamekuwa...
PRIME Sowah, Camara wana siku 18 ngumu Simba KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na...
PRIME Simba yafanya umafia Kenya SIMBA wameonyesha ukubwa wao kwa mara nyingine. Kuna jambo ambalo wamefanya kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambalo limemtibua Kocha Benni McCarthy. Ni jinsi...