Jimenez shujaa wa Mexico aliyenusurika kifo uwanjani Huenda Dunia isingemshuhudia mshambuliaji wa Mexico, Raul Jimenez akifunga bao la pili jana dhidi ya Afrika Kusini katika mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 kutokana na changamoto aliyopata...
Soka la kizamani limerudi Kombe la Dunia 2026? KUNA mengi yanaendelea katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ambako kuna rekodi kibao zinavunjwa na zingine hazijavunja hadi sasa. Lakini, wakati nchi zilizofuzu mtoano wa hatua ya 32 bora...
Safari ya ajabu Argentina ikipambana kutetea taji lake ARGENTINA imeandika sura ya kipekee katika historia ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kufanikiwa kufika fainali kwa njia ambayo imekuwa ya kusisimua, yenye presha na kuvunja rekodi mbalimbali.
Azam FC yawekeza mabilioni kujenga kikosi Msimu wa 2026/27 inatarajiwa kuanza katikati ya Agosti na timu kadhaa zimeshaanza maandalizi ya msimu mpya.
Morgan Rogers atakavyoibeba Chelsea CHELSEA imetikisa tena soko la usajili baada ya kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa Aston Villa, Morgan Rogers kwa ada ya pauni milioni 117, dili ambalo limewashangaza wengi kutokana na...
Simba Day 2026, vaibu la miaka 90 MIAKA 90 ya klabu ya Simba inaadhimishwa leo Jumamosi Agosti 8, 2026 katika kilele cha Simba Day, tamasha litakalofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam huku likitarajiwa kuwapo kwa vaibu...
Alponce Modest azidi kuteseka, amuita MO Dewji BAADA ya Mwanaspoti kuibua taarifa kuhusu hali ya kiafya ya beki wa zamani wa Simba, Alphonce Modest, baba mzazi wa staa huyo, amefafanua kinachoendelea kwenye familia huku nyota huyo akimtaja...
Hersi apewe maua yake... Rais wa Klabu ya Yanga, Hersi Said, anafanya kazi kubwa sana ya kuijenga klabu hiyo uwanjani. Hersi kijana msomi mwenye mawazo ya kimapinduzi, amekuwa mbunifu kwenye kuhakikisha kila uchao Yanga...
MTU WA MPIRA: Hata Fei Toto hakutegemea yangetokea haya! NCHI ina Rais mmoja tu. Ni Samia Suluhu Hassan. Ndiye mwakilishi wa muumba wa ulimwengu hapa Tanzania. Tunamuombea maisha marefu. Ni Rais wa kwanza Mwanamke kuwahi kutokea nchini hakuna...