PRIME Diarra ashtua Yanga, Maxi, Chama majanga YANGA imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa siku za karibuni baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi zake huku Ligi ya Mabingwa Afrika ikiburuza mkia Kundi A baada ya kukusanya pointi moja...
SPOTI DOKTA: Sababu nchi za Afrika Mashariki na Kati kutawala riadha WAKATI wa Olimpiki mwaka 2008, 2012 na 2016, wanariadha kutoka Afrika Mashariki kutoka Kenya na Ethiopia, walishinda theluthi mbili ya medali zote za dhahabu katika mashindano ya masafa ya kati...
Man United Vs Man City, goma lipo kati MANCHESTER United itaingia uwanjani Jumapili kwenye kipute cha Manchester derby dhidi ya mahasimu wao Manchester City ikiwa na mpango wa kuzoa pointi zote sita kutoka kwa wapinzani wao hao msimu...
Penzi la staa Bongo lilivyomtokea Savanna puani Dar es Salaam. Wakati baadhi ya watu wakidhani anachokifanya Savanna Benson ‘Rais wa First Year’ ni maudhui tu. Mtengeneza maudhui hayo ya mtandaoni anasema kila anachokifanya kwenye mitandao...
PRIME Lamine Yamal anavyowapoteza wengi kwenye umri wake KINDA na fundi wa mpira wa Barcelona, Lamine Yamal pengine ni mchezaji bora kabisa kwenye umri wake kwenye historia ya soka.
UKIZUBAA UMEACHWA: Ni vita ya kusaka tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa BAADA ya mechi za wikiendi iliyopita kwenye Ligi Kuu England na zile zilizofanyika Ijumaa, vita ya kuwania kuwamo kwenye Top Five imezidi kuwa kali na kufanya huo kubaki kuwa uhondo pekee...
Fainali Europa ni ya ufundi mwingi FAINALI ya Europa League itapigwa usiku wa Jumatano na miamba miwili ya Ligi Kuu England, Tottenham Hotspur na Manchester United itakutana yenyewe huko Estadio de San Mames, jijini Bilbao, Hispania.
Vichwa 10 vinavyochuana jino kwa jino kiatu cha dhahabu Ulaya MAMBO ni moto. Ndicho unachoweza kusema kuhusu vita ya kuwania Kiatu cha Dhahabu Ulaya.
Klabu zilizotumia mkwanja mrefu kusajili dirisha moja MABINGWA wa Ligi Kuu England, Liverpool wanakaribia kuweka rekodi ya kuwa timu iliyofanya matumizi makubwa kwenye dirisha la usajili, orodha ambayo kwa sasa imetawaliwa na Chelsea na Real Madrid.
PRIME Aziz KI ashtua Dar, anaswa hospitalini Daktari azungumza MAMBO ni moto kwelikweli! Hivyo ndivyo ilivyo katika Ligi Kuu Bara wakati mashabiki wa soka nchini wakijiandaa na kipute cha mchezo wa Dabi ya Kariakoo inayotarajiwa kupigwa Jumamosi, wiki hii...