Afcon ilivyommaliza nyota Stars MASHINDANO makubwa huwa daraja la kuwavusha wachezaji wengi kutoka timu za kawaida na kwenda timu kubwa endapo watafanya vizuri. Hiki ndicho kilichotokea kwa James Rodriguez, nyota wa Colombia...
JIWE LA SIKU: Haya yanaweza kumtokea Diarra, Yanga ijipange Beki wa Simba aliyepo na timu ya taifa ya Dr Congo, Henock Inonga keshamaliza kazi kwa kuandika historia ya Ligi Kuu Bara kupenyeza mtu kwenye nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya...
PRIME Simba , Yanga goma linarudi Kwa Mkapa Mashabiki wa Simba na Yanga bado wapo kwenye kizungumkuti cha kutojua timu hizo zitacheza wapi mechi za kimataifa za Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya serikali kutangaza kuufungwa Uwanja wa...
JIWE LA SIKU: Dube kuondoka Azam ni baraka iliyojificha Kwa kiingereza wanaita blessing in disguise. Kwa Kiswahili ni baraka iliyojificha. Hili ni jambo au tukio chanya linalomfika mtu kama zao la tukio hasi lililotangulia kumkuta.
Meneja, Ngassa wamfungukia Mayele ALIYEKUWA meneja wa mshambuliaji wa Pyramids, Fiston Mayele, Nestor Mutuale amemjibu kimtindo straika huyo akiipongeza klabu yake ya zamani ya Yanga kwa kuendelea kuwa na akili kubwa mbele ya...
Faida 5 za Wiki ya Mwananchi Tamasha la Wiki ya Mwananchi hufanyika kila mwaka hapa Tanzania likiwa maalum kwa ajili ya kufungua msimu kwa klabu ya Yanga. Ni tukio linaloambatana na shughuli mbalimbali lakini kubwa zaidi...
Mayele balaa zito 2022, mkali wa dabi HAPANA shaka mwaka 2022 utakuwa wa kihistoria kwa nyota wa Yanga, Fiston Mayele kutokana na ubabe aliouonyesha katika kufumania nyavu kulinganisha na mastraika wengine wa timu mbalimbali...
PRIME Simba yapiga mkwara, Robertinho apata mifumo mitatu ya mauaji SIMBA imefunga kambi ya mazoezi kwa kucheza mechi ya mwisho ya kirafiki juzi jioni dhidi ya Batman Petrolspor A.S na leo imeanza safari ya kurejea nchini kujiandaa na mechi ya Simba Day kisha...
Senzo halafu Manara sasa kazi iendelee INAWEZEKANA maisha yanakwenda kasi sana. Au pengine kuna maandiko yanakwenda kutimia. Hakuna shabiki yeyote aliyedhani kwamba kuna siku Haji Manara atatua Yanga. Wiki hii ametambulishwa Jangwani...
Geita Gold FC yatembelea miradi ya GGML Geita. Timu ya mpira wa miguu ya Geita Gold Football Club inayofadhiliwa na Kampuni ya GGML imetembelea miradi ya jamii inayofadhiliwa na kampuni hiyo kupitia mpango wake wa huduma kwa...