Dili za kuibua vita dirisha la Januari 2026 DIRISHA la usajili wa mastaa wa soka la Januari limebakiza siku chache tu kufunguliwa ili kuzipa nafasi klabu za Ligi Kuu England kuboresha vikosi vyao kwa ajili ya kumaliza msimu kwa kishindo.
Taifa Stars ina kitu, hesabu zipo Uganda HAIKUWA kinyonge. Nigeria wenyewe wameukubali mziki wa Taifa Stars katika mechi ya kwanza ya fainali za mataifa ya Afrika huko Morocco kwa namna ilivyotoa upinzani licha ya kikosi cha Super...
Ligi kubwa Ulaya kinawaka leo, kesho BAADA ya Manchester United kukipiga jana, Ijumaa dhidi ya Bournemouth, Ligi Kuu ya England, inatarajiwa kuendelea tena leo, Jumamosi kwa mechi nne kupigwa huku vigogo wa ligi za Italia, Ufaransa,...
PRIME Manula amerejea Azam na utamu wake UMEKIONA kiwango cha kipa Aishi Manula pale Azam FC? Jamaa ni kama amezaliwa upya. Yupo kwenye kiwango bora utasema ndio ameanza sasa kuonyesha makali yake kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini...
Mashabiki wa Simba sasa wanapona KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba uliochezwa Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ilishuhudiwa watani hao wa jadi wakitoka...
Ronaldinho: Messi ndiye bora duniani... hata Mbappe ameukubali mziki KWA miaka mingi, mjadala kuhusu nani ndiye mchezaji bora zaidi duniani umeendelea kutawala ulimwengu wa soka, lakini kwa Ronaldinho Gaucho, gwiji wa soka wa Brazil amekuwa na jibu akisema: “mbona...
Kipengele kipya cha Cyber ubashiri wa Esports, burudani zaidi na fursa AfroPari inaendelea kuboresha jukwaa lake ili kuongeza uwezekano wako wa kushinda. Ndiyo maana kampuni hii ya kubashiri imezindua kipengele kipya cha Cyber ndani ya aplikesheni ya simu kwa ajili...
Aston Villa na Nottingham kupigania fainali ya Europa League KATIKA usiku mdogo wa Ulaya, macho yote ya mashabiki wengi wa soka yataelekezwa Villa Park ambapo Aston Villa watakuwa na kibarua kizito cha kupindua matokeo dhidi ya Nottingham Forest kwenye...