Yanga yatangulia CAF SARE iliyopata Simba dhidi ya Namungo na kichapo ilichopewa Azam FC kutoka kwa Kagera Sugar, imewarahisishia kazi Yanga, kwani vinara hao wa Ligi Kuu Bara imekuwa klabu ya kwanza ya Tanzania...
TOC kuwapiga 'msasa' waandishi wa michezo nchini mwenyekiti wa Kamati hiyo, Henry Tandau. Amesema wamekuwa wakiulizwa maswali na baadhi ya wanahabari tofauti tofauti kuhusu majukumu ya TOC, mapato na matumizi na masuala mbalimbali yanayohusu...
Harmonize adakwa na Polisi Kenya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ anashikiliwa na polisi nchi Kenya kwa tuhuma za kujipatia pesa kwa njia ya uongo.
Morrison adaiwa kudakwa na Polisi, kisa shabiki wa Yanga Muda mfupi baada ya kumalizika mchezo wa Yanga dhidi ya Simba mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison amefikishwa kituo cha Polisi kwa madai ya kumshambulia mtu.
Washindi Betika mtoko wa Kibingwa watua Dar Washindi kwenye promosheni ya Betika Mtoko wa Kibingwa iliyotoa fursa kwa mashabiki 24 wa Simba na Yanga kushuhudia mchezo wa dabi, wamewasili jijini Dar es Salaam leo tayari kuungana na...
Derby hii kaziipo MASHABIKI wa Simba na Yanga tayari viroho vimeanza kuwadunda wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam keshokutwa Jumamosi...
Yanga, Simba ulinzi kama wote kwa Mkapa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema Jeshi la Polisi limejipanga vyema kiusalama kuelekea kwenye mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga uliopangwa kuchezwa...
Yanga vs Simba: Kikao chabadili refa usiku mwingi SIKU chache baada ya Mwanaspoti kufichua juu ya waamuzi waliokuwa wakipewa nafasi kubwa ya kuchezesha mchezo wa Kariakoo Derby, huku kikao kizito kikifanyika, ukweli umebainika kwamba mwamuzi...
Yanga waanza mbinu za ushindi WAKATI Simba ikiingia kambini jana kwa maandalizi ya mechi na watani zao, Yanga nao wameingia kambini ingawa wao juzi walianza na mazoezi ya gym.
Mayele aitisha Simba FISTON Mayele alitoa ahadi mbili ambazo moja ilikuwa ni kuifunga Namungo FC ambayo ameikamilisha na ya pili ni ya kupachika bao katika mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba itakayochezwa...