Simba, Pamba mtajua hamjui MOTO utawaka. Ndoto ya wengi ya kuona mzizi wa fitina unakatwa katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) imeshikiliwa na mchezo wa robo fainali ya mashindano hayo leo...
MTU WA MASHABIKI: Yanga isijiamini sana, ubingwa Bara bado upo wazi VITA ya ubingwa imeanza upya Ligi Kuu Bara. Sare tatu mfululizo ilizopata Yanga zimefufua matumaini kwa watetezi Simba. Pengo la pointi baina yao limepunguza badala ya kuongezeka. Hata zile...
Panga kubwa kupita Msimbazi, wanaoondoka, wanaobaki hawa hapa SIMBA haikuwa na mpango wa kufanya usajili mkubwa katiika dirisha kubwa lijalo la usajili baada ya kumalizika kwa msimu huu wa ligi lakini sababu mbalimbali hasa ufanisi wa nyota wake katika...
Ambani, Juma hatushuki msimu huu -0 . Kocha Ambani, alinyoosha kidole cha lawama kwa mwamuzi wa mechi hiyo ambaye alionekana kuegemea upande mmoja kwa kupeana penalti ambayo haikuwa inastahiki. “Ikiwa Kila wikendi marefarii...
Ligi ya Mabingwa Ulaya yaondoa hatua ya makundi Chama cha Soka Ulaya (Uefa) kimetangaza mfumo mpya wa mashindano yake yote matatu, huku kikisema kuwa mradi wa kuanzisha Super League sasa umezikwa "kwa angalau miaka 20".
MZEE WA UPUPU: Mondi hakuona alichokiona Puffy Daddy VIDEO ya wimbo wa Mtasubiri sana wa Diamond Platinumz na Zuchu imesimamishwa na Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) kuchezwa kwenye vyombo vya utangazaji kutokana na maudhui yake kuleta tafsiri...
Mashindano ya kuogelea ya FK Blue Marlins kufanyika Jumamosi na Jumapili Dar es Salaam. Mashindano ya kuogelea ya FK Blue Marlins yamepangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la shule ya kimataifa ya FK iliyopo Bahari Beach jijini. Meneja wa klabu ya FK Blue...
Miaka mitano ya kibabe ya Sportpesa Tanzania KAMA utani vile. Kampuni ya Michezo na Burudani ya Sportpesa, leo inaadhimisha miaka mitano tangu kuanza shughuli zake za michezo ya kubashiri nchini Tanzania.
Sakho aigawa Simba kisa Waarabu, mabosi wahofia ya kina Chama WINGA kutoka Senegal, Pape Ousmane Sakho, amewagawa mabosi wa Simba baada ya Waarabu kutoka Sudan kutoa ofa ya donge nono ili kumng’oa Msimbazi.
Yanga yatangulia CAF SARE iliyopata Simba dhidi ya Namungo na kichapo ilichopewa Azam FC kutoka kwa Kagera Sugar, imewarahisishia kazi Yanga, kwani vinara hao wa Ligi Kuu Bara imekuwa klabu ya kwanza ya Tanzania...