PRIME Makocha matajiri kwa kuwa na pato kubwa Ulaya SOKA limeandikisha idadi kubwa ya wachezaji na makocha wenye utajiri mkubwa katika kipindi cha muongo wa karibuni. Siku hizi, wachezaji na makocha kwenye mchezo huo, wanapiga pesa ndefu sana kwa...
PRIME Sakata la uraia wa 'mchongo' wachezaji wa Singida lachukua sura mpya Sakata la wachezaji watatu wa timu ya Singida Black Stars (SBS), waliopewa uraia wa Tanzania, limechukua sura mpya baada ya Wakili Peter Madeleka kutangaza kufungua kesi ya kikatiba Mahakama Kuu.
PRIME PUMZI YA MOTO: Jux, Vanessa Mdee 'wanapouzika' mgogoro wa Tanzania, Nigeria MOJA ya makosa ambayo mwalimu Julius Nyerere amewahi kukiri kuyafanya wakati wa utawala wake na kuyajutia ni kuitambua Jamhuri ya Biafra.
Mfahamu Harold Ndege CEO mpya FKF SHIRIKISHO la Soka Kenya (FKF) lina uongozi mpya, lakini baada ya kuingia madarakani mambo mengi katika soka nchini humo yamebadilika. Yapo mabadiliko kuanzia ngazi ya uongozi hadi katika...
Bab'kubwa... Hivi ndivyo Tanzania Open ilivyofunika Arachuga MCHEZA gofu nyota wa Kenya, Greg Snow ameendeleza wimbi la ushindi kwa nchi hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano ya Vodacom Tanzania Open, yaliyomalizika wiki iliyopita katika Uwanja wa...
PRIME MZEE WA FACT: Dharau za Carragher kwa AFCON ni muendelezo wa ukoloni Mlinzi wa zamani klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya England, Jamie Carragher, ameonesha dharau kubwa kwa mashindano ya soka ya mataifa ya Afrika, AFCON.
PRIME Arsenal kwenye mitindo minne ya kijanja kuizima Real Madrid ARSENAL imejikuta kwenye janga jingine la majeruhi kwenye kikosi na bahati mbaya pengine jambo hilo limetokea kwenye kipindi kibaya zaidi.
NIONAVYO: Serengeti Boys iwashtue TFF, wadau TIMU ya taifa ya Tanzania ya wavulana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys, imetolewa mapema sana katika michuano ya Mataifa ya Afrika chini ya miaka 17 ambayo itafikia tamati...
Bila jasho Cristiano ronaldo, Messi wapo tu LIGI kubwa kibao duniani zinaelekea ukingoni ambapo mbali ya timu kupambana kuwania nafasi za juu na nyingine kukwepa kushuka daraja, tayari mipango ya kufanya vizuri msimu ujao imeshaanza.
Aaliyah katika ndoto za Ramos kumpata Pilar Misimu 16 ilimtosha Sergio Ramos, 39, kuitumikia Real Madrid akiwa beki wa kati. Ndoto nyingi kama mchezaji amezitimiza hapa, Santiago Bernabeu ilimpa kila kitu akishinda mataji yote ngazi ya...