Sita Simba kukipiga Arsenal SIKU kama ya leo lakini ikiwa ni mwaka 2008, aliyekuwa kocha wa Simba, Krasimir Bezinski alisema katika kikosi chake ana wachezaji sita ambao anaweza kuwatengeza kwa muda mfupi na wakacheza soka...
Simba yanafafanua yalipo mabasi KITENDO cha timu ya Simba kutotumia magari yao kwenye safari zake za hapa na pale pamoja na kwenda nayo uwanjani kwenye mechi kimeanza kuwashangaza wengi huku wakiwa gumzo kwenye mitandao ya...
Nandy Festival 2021 lapata udhamini mnono MSANII wa muziki wa kizazi kipya Faustina Charles 'Nandy' ambaye kwasasa anaendelea na tamasha lake la Nandy Festival 2021 amepata udhamini wa tamasha hilo kupitia Kampuni ya mawasiliano ya...
Yanga unbeaten..... NANI wa kuizuilia Yanga? Ni kauli za kejeli zilizotolewa na baadhi ya mashabiki ya Yanga zikisindikizwa na mabango kadhaa ya kufagilia chama lao ambalo jana liliendelea kugawa dozi nyingine...
Mayele, Aziz KI watengewa mamilioni Tunisia WAKATI Yanga ikishuka ugenini mjini Tunis kukabiliana na US Monastir katika mechi ya kwanza ya Kundi D ya Kombe la Shirikisho Afrika, kuna kitu kikubwa wamefanya matajiri wao wa GSM kwa...
Dili la Miquissone, Simba lanoga! HUKO mtaani, mashabiki wa Simba wanaliimba jina la nyota wa zamani wa timu hiyo, Luis Miquissone wakitaka arejeshwe, kisi cha kuwafanya mabosi wa klabu hiyo kukuna kichwa na kupiga hesabu ndefu...
Mastaa 9 wamchomoa Saido Yanga KUNA uvumi flani unadai kocha wa Yanga Nesreddine Nabi amezichapa na mshambuliaji wake mkongwe Saido Ntibazonkiza, lakini wenyewe wawili hakuna aliyetolea ufafanuzi hilo na uchunguzi umebaini...
Pacha walivyokutana TikTok tangu walipouzwa mwaka 2002 Kuna mtu aliwahi kusema katika dunia hii ogopa Mungu na teknolojia na hivi ndivyo ilivyotokea kwa Amy na Ano, pacha waliokutana kupitia mtandao wa TikTok baada ya kutengana kwa takriban miaka 20.
Twende zetu Ivory Coast Ki-VIP kumenoga Wakati washindi sita wa kampeni ya Twende Zetu Ivory Coast Ki-VIP wakitarajiwa kutangazwa Januari 2, kampeni hiyo imeendelea kutoa zawadi mbalimbali za siku na za wiki kote nchini. Iko hivi...
Rekodi zinazibeba Mazembe, Asec CAF Baada ya mashabiki wa soka Afrika usiku wa jana kushuhudia shoo kali ya mechi mbili za marudiano za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini na Yanga na...