Majeruhi wapunguza joto la Derby Kupona kwa nyota majeruhi kunazidi kupunguza presha ya makocha wa Simba na Yanga katika maandalizi ya timu zao kwa ajili ya mechi baina yao itakayochezwa Jumapili ijayo katika Uwanja wa Benjamin...
Msama: Tamasha la Pasaka mambo yote yapo sawa, nyie tu Ikiwa imebaki siku moja kufanyika kwa tamasha la Pasaka uongozi wa kampuni inayoandaa tamasha hilo umesema kila kitu kinaenda vizuri. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 8, 2023 na Mkurugenzi wa...
Gofu vijana mguu saw michuano ya Afrika Timu ya Taifa ya gofu ya wachezaji vijana wa Tanzania inatarajia kuondoka nchini Aprili 15 kuelekea Kampala, Uganda kushiriki mashindano ya Afrika.
Shikangwa, Corazone kubaki Bongo IMETIBUKA maze! Ile mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya timu ya taifa ya wanawake, Harambee Starlets, dhidi ya Albania iliyokuwa imepangwa kuchezwa Jumanne Aprili 11 mwaka huu jijini Tirana...
Naibu Waziri Mwinjuma aiombea Yanga nafasi Super League, CAF yajibu Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mohamed Mwinjuma amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Veron Mosengo-Omba. Katika...
Yanga mechi ya kisasi CAF, Simba yarudi Morocco Droo ya hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho imemalizika nchini Misri kwa timu zinazowakilisha Tanzania Simba na Yanga kujua wapinzani wao. Yanga ambayo droo yake...
Mchezaji ghali JKT milioni 10 MWANASPOTI lilipata nafasi ya kwenda kwenye kambi ya JKT Tanzania, likishuhudia shughuli mbalimbali zilizokuwa zinaendelea, kwa maana ya wapishi walikuwa wanafanya kazi yao, ila kubwa zaidi wapo...
Simba, Yanga yoyote aje LEO ni siku muhimu kwa soka la Tanzania na Afrika kwa ujumla wakati ambapo droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho hatua ya robo fainali itakuwa ikipangwa pale Cairo nchini...
Vita ya usajili GSM aitikisa Congo YANGA ilikuwa jijini Lubumbashi na juzi usiku walitakiwa kurejea nchini baada ya kumalizana na wenyeji wao TP Mazembe katika mchezo wa kukamilisha ratiba lakini kuna vita ya matajiri wawili...
TUONGEE KISHKAJI: Waandishi tunamdisi Dogo Janja kwa vitu ambavyo wenyewe tunaviishi CHARLES Abel, mwandishi wa gazeti hili ni mmoja wa watu wachache sana sana sana ninaowafahamu duniani wasiokuwa wanafiki hata kidogo. Na neno mnafiki mimi hulitafsiri kama kuzungumza vitu...