Yanga yaizidi kete Rivers United YANGA tayari ipo Uyo, Kusini mwa Nigeria kukiwasha na wenyeji Rivers United leo Jumapili. Lakini River wamezidiwa kete na Yanga na kujikuta wakikuna kichwa jinsi ya kuwakabili ndani na nje ya...
Mechi nne za moto Ligi ya Mabingwa LIGI ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali inaanza wikiendi ijayo, ikiwa na sura tofauti na hatua ya makundi ambayo ilimalizika hivi karibuni. Hii ni hatua nyingine muhimu ambayo mashabiki...
Simba mpya inatia raha, wanaotemwa watajwa SIMBA imepanga kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi na hata katika safu yake ya uongozi malengo yakiwa ni kuhakikisha inarudisha mataji yote iliyoyapoteza msimu huu na kuwa na muendelezo wa...
Mahadhi: Yanga walimleta mama uwanja wa ndege TANZANIA imebarikiwa kuwa na wachezaji wengi mahiri na kila mgeni aliyewahi kufika hapa nchini, amekuwa akisema Tanzania ina wachezaji wengi bora. Baadhi ya watu maarufu katika soka duniani...
Mbeya City yachangiwa Sh3 milioni kuifunga Kagera Sugar Spika wa Bunge la Tanzania Dk Tulia Ackson ametoa Sh2 milioni kwa timu ya Mbeya City ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kuelekea mchezo dhidi ya Kagera Sugar Aprili 23.
Bao la Inonga lafunika BAO la kwanza lililofungwa jana na beki wa kati Henock Inonga, limeingia kwenye rekodi ya mabao ya haraka kufungwa kwenye Kariakoo Derby, akifuata nyayo za Emmanuel Okwi aliyefanya hivyo mwaka 2012.
Mtanzania Geay atwaa medali ya fedha Boston Marathon Mtanzania, Gabriel Geay ametwaa medali ya fedha ya mbio za Boston marathoni ziluzomalizika jioni hii nchini Marekani. Geay aliachwa kwa sekunde tisa na bingwa mtetezi raia wa Kenya, Evans Chebet...
Wafanyakazi, wateja NBC wapelekwa kushuhudia Karikakoo Derby . “Umekuwa ni utaratibu wetu sasa kufurahia na wateja wetu kwa namna mbalimbali inapofika siku kama ya leo ambapo miamba miwili ya Soka letu inapokutana uwanjani. Kwa kutambua ile...
Amsha amsha za dabi Betika Mtoko wa Kibingwa zilivyonoga Dar Zilikuwa siku tatu za kibabe na amsha amsha kwa mashabiki 100 wa Betika Mtoko wa Kibingwa kuanzia Ijumaa hadi jana Jumapili kwenye mchezo wa dabi wa watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye uwanja...
Baleke, Mayele wabeba matumaini ya mashabiki MASHABIKI wa Simba na Yanga wamekuwa na matumaini makubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo wa 'Kariakoo Derby' huku nyota wanaotajwa zaidi ni Fiston Mayele na Jean Baleke.