Bruno abakisha dakika 90 kuweka rekodi mpya EPL NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameifikia rekodi ya pasi nyingi za mabao katika msimu mmoja wa Ligi Kuu England baada ya kikosi hicho kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Nottingham...
Real Madrid yafungua milango dili la Camavinga, Liverpool yatajwa REAL Madrid inapanga kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi dirisha lijalo la majira ya kiangazi na kiungo wao wa kimataifa wa Ufaransa, Eduardo Camavinga, 23, ni miongoni mwa wachezaji wanaoweza...
Wakala wa Lewandowski akutana na Juventus WAKALA wa mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski, 37, anayekipiga Barcelona, anatarajiwa kukutana na Juventus wiki hii kujadili uwezekano wa staa huyo kutua katika klabu hiyo.
Anthony Gordon, Ndiaye watajwa Liverpool LIVERPOOL inataka kuimarisha safu yake ya ushambuliaji msimu ujao na inawaangalia mastaa wawili ambao ni winga wa Newcastle United na England, Anthony Gordon, 25, pamoja na mshambuliaji wa...
Kocha Nairobi United: Tuna mlima mrefu wa kupanda CAF BAADA ya kusubiri kwa miaka sita kushuhudia timu ya Kenya inacheza mechi ya nyumbani katika michuano ya CAF hatua ya makundi, hatimaye subira hiyo imekuja na maumivu huku kocha wa Nairobi United,...
Dili la Mike Maignan, Chelsea laanza upya CHELSEA imeanza tena kufanya mawasiliano na wawakilishi wa kipa wa AC Milan, Mike Maignan baada ya kujua kuwa kipa huyo wa kimataifa wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 30 hataki kuongeza mkataba wa...
Havertz aipeleka Arsenal fainali baada ya miaka sita ARSENAL imefuzu fainali yake ya kwanza baada ya miaka sita kupita kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea katika Uwanja wa Emirates usiku wa Jumanne, Februari 3, 2026, mfungaji akiwa Kai Havertz...
JOBLESS: Makocha waliolipa kisogo benchi muda mrefu KATIKA soka la kisasa lenye presha kubwa ya matokeo na uharaka ni nadra kuona makocha wakubwa wakikaa nje na hawana kazi kwa muda mrefu.