Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8268 results for Mwandishi Wetu :

  1. PRIME Nabi apewa saa 48 Kaizer Chiefs

    ALIYEKUWA kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema ndani ya saa 48 mustakabali wake na Kaizer Chiefs utakuwa umejulikana. Nabi aliachana na Yanga baada ya kumalizika kwa msimu uliopita akiwa...

  2. Azam yaing'oa Simba, sasa kuivaa TZ Prisons

    AZAM FC jana usiku imehitimisha mechi za makundi kwa kuifumua Simba kwa mabao 2-0 na kuifungasha virago kwenye Ligi Kuu ya Vijana U-20 inayoendelea katika Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar es...

  3. PRIME Ilikuwa ni lazima wapewe Thank You

    SIMBA imetangaza kuacha wachezaji nane, huku Yanga ikiwatema wanne, ilihali Azam ikiwapiga chini nyota saba akiwamo aliyekuwa kocha mchezaji, Aggrey Morris aliyedumu katika kikosi hicho kwa muda...

  4. Sababu ya Mkude kutemwa Simba yatajwa

    SIMBA SC ikiendeleza kutoa 'Thank You' kwa wachezaji wake kikosini , leo imetoa tamko kuhusu kiungo Jonas Mkude aliyedumu miaka 13. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally...

  5. PRIME Malone aingia anga za Simba

    KLABU ya Simba iko kwenye mazungumzo na CotonSport ya Cameroon ili kupata saini ya beki wa kati, Che Fondoh Malone. Beki huyo anatajwa kuhitajika na miamba hiyo hapa nchini kwa ajili ya kuongeza...

  6. Yanga yatenga bajeti ya Sh20 bilioni msimu ujao

    KLABU ya Yanga imetenga bajeti ya Sh20.8 bilioni kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya ndani na ya kimataifa. Akizungumza katika mkutano mkuu wa klabu hiyo Mkurugenzi wa Fedha...

  7. PRIME Vigogo hawa watatoboa Kimataifa

    TIMU za Simba, Yanga kuanzia Agosti 18 zitaanza mtihani mpya wa kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku Azam na Singida zikishiriki Kombe la Shirikisho Afrika. Hii ni michuano mikubwa...

  8. Yanga yamtambulisha mrithi wa Nabi

    KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Miguel Angel Gamondi kuinoa timu hiyo msimu ujao akichukua nafasi ya Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba wake. Kocha huyo raia wa Argentina...

  9. Chalamila aibua shangwe mkutano mkuu wa Yanga

    MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameibua shangwe kwa Wanachama waliohudhuria katika mkutano mkuu wa klabu hiyo unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere...

  10. Yanga yavuna Sh7 Bilioni za wadhamini kwa mwaka

    KLABU ya Yanga imevuna kiasi cha Sh7 bilioni kwa mwaka kutokana na wadhamini mbalimbali wa timu hiyo.

Previous

Page 700 of 827

Next