Chebet ajiondoa mashindano ya Mbio za Nyika Mshindi wa medali ya dhahabu mara kadhaa katika mashindano ya dunia ya mbio za nyika, Beatrice Chebet, hatashiriki Mashindano ya Taifa ya Mbio za Nyika yatakayofanyika Jumamosi Oktoba 25, 2025...
Mserbia amrithi Ndayiragije Kenya Police KENYA Police FC imemuajiri kocha mpya kutoka Serbia, Dusan Stojanovic, ikiwa ni siku chache baada ya Ettiene Ndayiragije kuachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Amorim kupata kazi Man United mchakato matata HABARI ndo hiyo. Kumbe ishu ya Ruben Amorim kupata kazi ya kuinoa Manchester United kibarua chake hajakipata kirahisi, mchakato wake ulikuwa matata.
Upamecano atua anga za Real Madrid, mchongo upo hivi REAL Madrid inapanga kumsajili beki kisiki wa kimataifa wa Ufaransa, Dayot Upamecano, 26, ambaye yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake na Bayern Munich.
Mastaa wanaoweza kupenya NBA All-Star 2026 LIGI ya mpira wa kikapu ya Marekani, NBA ndiyo ligi kubwa na maarufu zaidi duniani na kila msimu huwa na tukio kubwa linaloitwa All-Star Game ambalo hufanyika katikati ya msimu.
Nyota anayetajwa kuwa na thamani kubwa NBA KATIKA mpira wa kikapu, hadhi na thamani ya mchezaji haipimwi kwa pointi anazofunga na uwezo wa kuzuia tu, bali kwa ukubwa wa mkataba, ushawishi wa kibiashara na mapato anayokusanya nje ya mchezo.
Takwimu zinavyomuadhibu Ruben Amorim! TAKWIMU za kocha wa Manchester United, Ruben Amorim zinafichua kwamba ndiye wa hovyo kuwahi kutokea kwenye Ligi Kuu England.
PRIME Hiki hapa kilichomuondoa Ramovic Yanga KUNA mshtuko umetokea leo jioni kwenye mazoezi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kesho Jumatano Februari 5, 2025...
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88.