MR LIVERPOOL: Hii Liverpool inahitaji kufanyiwa kisomo aisee
. Mwezi uliopita, Klopp alifiwa na mama yake, Elisabeth, na kwa sababu ya matatizo ya ugonjwa wa Corona, ameshindwa kusafiri kwenda kumzika mzazi wake huyo. Labda watu hawajui nini maana ya msiba huu.