PRIME Unazikumbuka dabi hizi tano ziliopigwa Zanzibar? WAKATI wa jadi wa soka la Tanzania, Yanga na Simba, wanakutana leo, Alhamisi, Unguja, Zanzibar kuwania Kombe la Muungano.
Rashford atua katika rada za Tottenham TOTTENHAM Hotspur imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 28, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Vigogo Marekani wamgombania Casemiro LOS Angeles Galaxy na Inter Miami za Ligi Kuu Marekani zimeonyesha kuvutiwa na kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya Brazil, Carlos Henrique Casimiro maarufu Casemiro mwenye umri wa...
Alisson Becker sasa anukia Juventus JUVENTUS imemuweka kipa wa Liverpool na Brazil, Alisson Becker, 33, katika vipaumbele vyao vya usajili wa dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Vinícius Jr aingia anga za Pep Guardiola Manchester City ni miongoni mwa klabu zinazoiwania saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Vinícius Junior, 25, dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
AFCON 2027: Makonda aanika ramani ya miundombinu bungeni RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, tayari ameridhia na kutoa kiasi cha Dola za Marekani 30,000,000 (Sh78 milioni) kama ada ya uandaaji wa Fainali za Kombe la Mataifa...
UEFA CL Bayern vs PSG, vita ya mwisho Allianz Arena Leo, Jumatano dunia itasimama kushuhudia mechi nyingine ya kuwania kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya wawili wa soka la Ulaya, Bayern Munich na Paris Saint-Germain, katika dimba la...
Ubingwa EPL ni 50 kwa 50 MSIMU wa 2025/26 unakaribia kufika mwisho, ambapo ni ligi moja tu kati ya tano bora Ulaya ambayo imeshapata bingwa, Ujerumani (Bundesliga). Bayern Munich imeshatangazwa bingwa kwa msimu mwingine...
Doku: Nikiongeza tu mabao nakuwa winga bora duniani ANAJISIFU? Bila shaka ana kitu miguuni mwaka. Kasi, nguvu ya kushambulia na ustadi wa haraka wa kupiga chenga, winga wa Manchester City, Jeremy Doku ni jinamizi kwa mabeki wa timu pinzani katika...