JIWE LA SIKU: Manula anaenda kumaliza tatizo Azam FC
INAELEZWA msimu uliopita ilibakia kidogo tu, kipa Aishi Manula arudi Azam FC.
Dili hilo lilikuwa hivi, Simba ilikuwa inamtaka kiungo Sospeter Bajana. Azam FC haikuwa na shida, ikataka irudishiwe...