PRIME Simba Misri pamoto! KUNA mambo flani yanasonga pale Msimbazi yalipo makao makuu ya Klabu ya Simba, ambapo vigogo wanapambana kuweka mambo sawa, kwani kuna mastaa ambao zipo kila dalili kwamba wanapaswa kusepa huku...
Fenerbahce mguu sawa kumnasa Ederson FENERBAHCE wako kwenye hatua za mwisho za kumsajili kipa wa Manchester City, Ederson, 32, dirisha hili.
PRIME Mo Dewji aweka Sh1 bilioni mezani, vigogo watangulia Misri TAJIRI na mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ na jopo lake, wamewawekea mezaji wachezaji Sh1 bilioni ili waitoe Al Ahly kwenye michuano ya Africa Football League. Katika michuano hiyo...
Mo Dewji alivyochochea mageuzi ya soka Tanzania Wakati jarida la Forbes likimuorodhesha Mohammed Dewji (MO) kuwa bilionea wa 12 barani Afrika katika chati mpya ya 2025, klabu ya Simba ni taasisi ya michezo iliyonufaika na utajiri huo.
EPL London Derby kitawaka MCHAKAMCHAKA wa Ligi Kuu England umerudi upya baada ya kupisha mechi za kimataifa, huku masikio na macho ya wengi yatakuwa huko Emirates kwenye kipute cha London derby, Arsenal itakapomalizana na...
Arsenal yatua kwa Rodrygo ARSENAL imeonyesha nia ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid, Rodrygo Goes katika dirisha hili la usajili wa majira ya kiangazi ili kuboresha eneo la ushambuliaji.
Pacers ilivyofufuka mchezo wa kwanza INDIANA Pacers imefanya yake, lakini safari hii imefanya dhidi ya ngome imara zaidi ya ulinzi katika Ligi ya Kikapu Marekani.
Spurs kuitikisa Man United kwa Bryan Mbeumo KOCHA wa Brentford Thomas Frank, ambaye anatarajiwa kuchukua nafasi ya Ange Postecoglou kama kocha wa Tottenham, ameiambia timu hiyo kuwa anahitaji saini ya straika wa Brentford na timu ya taifa...
PRIME Hoja sita kuamua Dabi ya Kariakoo WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB).
PRIME Hizi ndizo kanda zenye ushawishi TFF JANA katika mfululizo wa makala maalumu za Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) utakaofanyika Agosti 16 jijini Tanga ilielezwa ukweli juu ya wapigakura wa uchaguzi huo.