Simba fasta kuiwahi Yanga SIMBA ipo visiwani Zanzibar ilikoweka kambi maalumu kwa ajili ya mechi ya 'Kariakoo Derby' dhidi ya Yanga itakayopigwa Jumamosi Aprili 20 uwanja wa Benjamin Mkapa, lakini Wekundu wa Msimbazi hao...
Mechi inayofuata baada ya kipigo kikubwa -2 Abdallah Mwinyimkuu Abdallah Hussein/Abbas Dilunga Yanga Bernard Madale Rajab Tangale Hussein Kondo “Mmakonde” Charles Boniface Mkwassa Suleiman Jongo Rashid Idd Ayub Shaaban Juma Mkambi...
Mtego huo Kariakoo Dabi! KARIAKOO Dabi ya 112 ndani ya Ligi Kuu, inapigwa saa 11:00 jioni, Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkapa lakini kwa takwimu zilivyokaa kuna mtego ambao kila timu inahitaji akili ya ziada ya kiufundi...
PRIME Dabi ya Kariakoo ni mtego Kariakoo Dabi ya 112 ndani ya Ligi Kuu, inapigwa saa 11:00 jioni, Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkapa lakini kwa takwimu zilivyokaa kuna mtego ambao kila timu inahitaji akili ya ziada ya kiufundi...
Azam yagonga hodi rasmi Yanga na Sh400 milioni Wakati msimu wa soka Tanzania ukiwa katika makumi yake ya mwisho, klabu kadhaa tayari zimeshaanza maandalizi ya msimu ujao.
Mabondia waicheza Kariakoo Dabi TANGU 1965 ikiwa imepita miaka 59, Simba na Yanga zimekutana mara 111 katika michezo ya watani wa jadi yaani ‘Kariakoo Dabi’.
PRIME Gamondi apiga mkwara mpya kambini Yanga SC Yanga imeingia kambini jana tayari kwa maandalizi yao ya kuwakaribisha watani wao Simba, lakini kuna mkwara mzito wameshushiwa mastaa wao kisa Wekundu hao.
Siri iliyojificha Simba Zanzibar Simba imeenda tena kuchukua maujanja Zanzibar kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaochezwa Jumamosi ya wiki hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 11:00...
Mafua: Hadi Diamond aliwahi kukodi cheni kwangu BURUDANI yake kubwa siku zote kwake imekuwa kupanda juu ya ulingo kama msaidizi wa bondia na ikishindikana kwa bondia wa ndani basi usishangae kumuona akiwa kwenye kona ya bondia mpinzani hata...
PRIME Pointi tatu tata Dabi ya Kariakoo Simba itakuwa mgeni wa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara Jumamosi ijayo, mechi ambayo itakuwa na maswali mengi ambayo yanahitaji majibu.