Siku nyingine ya Simba kujiuliza Makocha Fadlu Davids wa Simba na Francis Kimanzi wa Tabora United leo kila mmoja ataanza kuonja joto la Ligi Kuu Tanzania Bara wakati timu zao zitakapokutana kwenye Uwanja wa KMC, Mwenge, Dar es...
Kuna shida Chelsea, Thiago Silva afichua mazito CHELSEA kuna shida na kwa sasa mambo hayajatulia kwenye kutengeneza kikosi huku Kocha Enzo Maresca akiendelea na mazoezi na anachotaka ni wachezaji 24 tu wa kuwafundisha, huku wengine wakipishana...
NIONAVYO: Inafikirisha klabu kuhamia ugenini WAPENDWA wasomaji wetu, hii ni makala ya 100 katika safu hii ya Nionavyo. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii, maana kwa zaidi ya majuma 100 ametuwezesha kuifanya kazi hii.
NMB yaiongezea nguvu Yanga kimataifa KUELEKEA mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania, Yanga wameitambulisha Benki ya NMB kuwa ni mmoja wa wadhamini wa...
PRIME Hizi hapa sababu za Yanga kuhama Chamazi YANGA imeukimbia Uwanja wa Azam Complex sasa inajipanga kuanza maisha mapya viunga vya KMC Complex baada ya kutangaza rasmi kuhamia hapo, ikifichuka sababu zilizowafanya mabosi wa klabu hiyo...
Lewandowski mbioni kustaafu BARCELONA, HISPANIA: MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Robert Lewandowski, ameweka wazi kwamba yupo mbioni kuachana na soka licha ya kuwa katika kiwango bora tangu ajiunge na Barcelona. Lewandowski...
OLE WENU! Amorim awapiga mkwara mastaa Man Utd MANCHESTER, ENGLAND: KOCHA mpya wa Manchester United, Mreno Ruben Amorim amewachana wachezaji wenye umri wa mdogo katika timu hiyo akisema hawana kisingizio kulingana na na umri wao akiwataka...
PRIME Rais wa Caf ashtakiwa Dar, kesi kunguruma leo Jumatatu KESI inayomhusisha bilionea wa Afrika Kusini na rais wa CAF, Patrice Motsepe na kampuni zake inatarajiwa kusikilizwa kesho, Jumatatu katika Divisheni ya Kibiashara ya Mahakama Kuu ya Tanzania...
Wenye vita ya ubingwa England ni Liverpool, Arsenal MBIO za ubingwa kwenye Ligi Kuu England ni za farasi wawili, Liverpool na Arsenal.
Man United yamtaka Son wa Spurs Old Trafford MANCHESTER United imeripotiwa kujiandaa kupeleka ofa ya maana kabisa huko Tottenham Hotspur kwa ajili ya kunasa huduma ya mshambuliaji wa Korea Kusini, Son Heung-min ili akakipige Old Trafford.