Wanasoka na Tattoo kuna jambo WANASOKA na tattoo ni kama uji na mgonjwa. Wachezaji wengi wanaolipwa maelfu ya pauni kila wiki hupenda kutumia muda wao wa mapumziko kuchora tattoo mbalimbali miilini mwao.
Maignan, AC Milan ngoma ngumu, Chelsea ikitajwa kumvizia KIPA wa kimataifa wa Ufaransa na AC Milan, Mike Maignan, inadaiwa kuwasilisha ombi la kuondoka kikosini kutokana na mwisho mbaya wa msimu wa timu yake kulikoenda sambamba na kufutwa kazi kwa...
Ushindi wa Perez... Jose Mourinho, Olise haooo Real Madrid JOSE Mourinho anatarajiwa kuthibitishwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Real Madrid baada ya Florentino Perez kuchaguliwa tena kuwa rais wa klabu hiyo hadi mwaka 2030.
Messi, Mbappe, Haaland wanakabika hivi KOMBE la Dunia huwa la kuvutia zaidi pale mastaa wakubwa wanapoonyesha uwezo wao, washambuliaji wanne bora duniani walionyesho ubora wao katika mashindano hayo.
Konate, Liverpool kuna jambo wanapika pembeni BEKI wa kati wa Liverpool, Ibrahima Konate, 26, yupo karibu kufikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia Anfield.
Messi Marekani kama CR 7 Saudia NAHODHA wa Inter Miami ya Ligi Kuu Marekani (MLS), Lionel Messi ameendelea kuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka wa tatu mfululizo baada ya kupata ongezeko kubwa la kipato...
Jarida la Time lamtaja Mo Dewji wahisani bora 100 Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, ametajwa katika orodha ya TIME100 Philanthropy 2026 inayotolewa na jarida maarufu duniani la TIME, ikiwa ni kutambua mchango wake kwa jamii kupitia...
Kone ‘mguu wake umening’inia’ Vancouver FURAHA ya Canada kupata ushindi wake wa kwanza kabisa katika Kombe la Dunia iligubikwa na simanzi kubwa baada ya kiungo nyota Ismael Kone kupata jeraha baya la kutisha wakati wa ushindi wa mabao...
Munoz atua Anfield, sasa wafukuzia Diomande LIVERPOOL wamekamilisha usajili wa winga wa Hispania, Victor Munoz, huku pia wakiijulisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutoa euro100 milioni kwa ajili ya winga Yan Diomande.