Fomesheni nne za kocha Man United! MICHAEL Carrick anaweza kuanzisha mambo mapya Manchester United kwa kukiandaa kikosi kitakachocheza kwenye njia nne tofauti akiwa kocha wa muda.
Tumeonewa… Arteta awaka kunyimwa penalti ya wazi KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema anaamini timu hiyo ilipaswa kupewa 'penalti ya wazi kabisa' katika mechi ya juzi usiku ya Ligi Kuu England dhidi ya Nottingham Forest iliyomalizika kwa suluhu.
Rais FIFA... Hili la Senegal lichukuliwe hatua ISHAKUWA soo. Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya soka (FIFA), Gianni Infantino, amelitaka Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuchukua hatua kutokana na kile alichokiita 'matukio mabaya'...
Sami Trabelsi abeba mzigo wa lawama KIPA namba moja wa Yanga, Diarra Djigui usiku wa juzi alikuwa shujaa wa timu ya taifa ya Mali, baada ya kuokoa penalti mbili na kuivusha kimiujiza timu hiyo kucheza robo fainali ya michuano ya...
Mwamba Jet LI unajua maisha yake kwa sasa? WIKI iliyopita, staa wa filamu za mapigano duniani, Jet Li, alitajwa sana kwenye vyombo vya habari amepewa ofa nono na baadhi ya kampuni kwa ajili ya kuigiza tena, baada ya kusimama kwa muda mrefu.
Singida Black Stars kutumia mbili Bara kujiweka sawa Afrika KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema mechi mbili za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na JKT Tanzania watazitumia kama njia ya kujiweka tayari kwa ajili pambano la michuano ya...
Balaa la Bruno Fernandes Manchester United! BRUNO Fernandes hachezi mpira. Bali anafikiria mpira. Kwa kile anachokifanya ndani ya uwanja, basi tu hapewi sifa anazostahiki. Mreno huyo ni fundi wa boli na mara zote amekuwa akifanya mambo...
Mgunda alia na Yona Amos KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema kipigo cha bao 1-0 ilichopewa timu hiyo ugenini na Pamba Jiji kimewashtua, kwani hawakutarajia huku akimtaja kipa Yona Amos aliyechangia kuziacha pointi...
Mke wa John Terry awa kivutio Paris TONI Terry, mke wa nyota na nahodha wa zamani wa kimataifa wa Chelsea na England, John Terry amekuwa gumzo jijini Paris baada ya kuonekana mtaani akiwa matembezini na mumee huku ametinga viwalo...