Haya ndiyo maradhi yaliyositisha uhai wa mwigizaji Fredy Kufuatia kifo cha mwigizaji Fredy Kiluswa kilichotokea jana Novemba 16,2024 katika hospitali ya rufaa Mloganzila, mwongozaji msaidizi wa tamthilia ya 'Mizani ya Mapenzi' Alex Mgeta 'Ngosha'...
Guinea yaiweka njia panda Stars kufuzu Afcon 2025 Ushindi wa bao 1-0 wa Guinea dhidi ya DR Congo umeweka kundi H la kufuzu kwa AFCON 2025 kwenye hatua ya kufa au kupona, hasa kwa Taifa Stars. Kwa sasa, nafasi ya Stars kufuzu inategemea mchezo wa...
Hakuna namna! Lyon kuuza mastaa wote MABINGWA mara saba wa Ligi Kuu ya Ufaransa, Lyon inahaha kujinusuru kushushwa daraja mwisho wa msimu kutokana na masuala ya kiuchumi yanayoikabili na imepanga kuwauza mastaa wake ili kupata pesa...
Mastaa wa NBA wanavyotesa na rekodi zao DRAYMOND Green alifunga pointi 13, rebaundi nane na asisti saba kabla ya kutolewa uwanjani mwishoni mwa mchezo kwa makosa mawili ya kiufundi ndani ya sekunde 33, Golden State Warriors wakishinda...
Davies akubali kusaini mkataba wa awali Madrid BEKI wa pembeni wa Bayern Munich na Canada, Alphonso Davies, 24, yupo tayari kusaini mkataba wa awali ili kuichezea Real Madrid katika dirisha la majira ya baridi mwakani na inaelezwa tayari...
Gyokeres njia nyeupe Arsenal ARSENAL huenda ikapata urahisi katika mchakato wa kumsajili straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres baada ya Barcelona kuthibitisha kuwa haina mpango wa kumsajili.
Madrid mmh! Ancelotti ni matatizo WAKATI taarifa za mpasuko baina ya mastaa wa Real Madrid zikizidi kupamba moto, inaripotiwa hata benchi la ufundi nalo mambo hayaeleweki.
Ronaldo akataa ukocha Nyota wa Al Nassr, Cristiano Ronaldo amesema kinachomfanya aendelee kucheza kwa sasa ni motisha na pindi atakapostaafu hana mpango wa kugeukia ukocha.
OLE WENU! Amorim awapiga mkwara mastaa Man Utd hivyo pia akiwa na Man United. Kocha huyo pia alisema moja kati ya mambo ambayo anataka kuanza nayo ni kuhakikisha timu inakuwa na utambulisho na staili ya uchezaji inayoeleweka, jambo ambalo...
Dah! Gamondi aondoka na utamu wake, rekodi zake ziko hivi Gamondi alijiunga na Yanga Juni 24, 2023 akichukua nafasi ya Mtunisia Nasreddine Nabi aliyeipa mataji mawili ya Ligi Kuu, mawili ya Kombe la Shirikisho (ASFC), mawili ya Ngao ya Jamii na...