Rais Mwinyi: Zanzibar ipo tayari kwa mashindano ya Chan 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amelihakikishia Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘Caf’ kuwa Zanzibar ipo tayari na inajiandaa vema kufanikisha Mashindano...
Yanga yawageukia wazee UONGOZI wa klabu ya Yanga ikishirikiana na wadhamini wao GSM imekabidhi rasmi kiasi cha Sh 200 milioni sambamba na mifuko ya saruji yenye ujazo wa tani 100 katika ujenzi wa makazi ya kisasa ya...
NIONAVYO: Tusisubiri mtu afe uwanjani HAKUNA kitu kilichochafua taswira ya mpira wa Uingereza katika karne iliyopita zaidi ya vitendo vya wahuni viwanjani au kwa lugha yao wanawaita hooligans. Hooligans hawa walifanya vurugu ndani na...
Rasmi, Mpanzu kuanza na Kagera Sugar KLABU ya Simba imethibitisha kwamba, kila kitu kuhusu usajili wa Elie Mpanzu ndani ya kikosi hicho kimekamilika, hivyo ni rasmi sasa yupo tayari kuanza kuitumikia timu hiyo katika mchezo ujao wa...
Polisi yamtaka Morrison afike kituoni Mbweni JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison, kulituhumu jeshi hilo kituo cha Mbweni kuwa linachukua rushwa, likimtaka staa huyo...
Vinicius JR ajifariji na tuzo ya Fifa Mshambuliaji wa Real Madrid na Brazil, Vinicius JR amefichua kuwa amepitia katika nyakati ngumu hadi kufikia hatua ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa dunia 2024 ya shirikisho la mpira wa miguu...
Vigogo wanaisubiri Spurs au United nusu fainali Mshambuliaji wa Arsenal Gabriel Jesus, jana alifanya mambo makubwa baada ya kufunga mabao matatu, 'hat trick' na kuipeleka timu yake hatua ya nusu fainali ya Kombe la Carabao, huku Liverpool nayo...
Mataji ya Arteta yamshangaza shabiki SHABIKI mashuhuri wa Arsenal, Piers Morgan ameshangazwa na utetezi wa kocha Mikel Arteta juu ya mataji aliyobeba kwenye timu hiyo.
Garnacho apiga bao la Fifa ALEJANDRO Garnacho ameshinda tuzo ya Fifa ya Bao Bora la Mwaka (Fifa Puskas) siku chache baada ya kupigwa chini kwenye kikosi cha Manchester United kilichocheza na Manchester City katika kipute...
Dani Olmo kubebwa bure kabisa KIUNGO mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo yupo kwenye hatari ya kuzuiwa kuitumikia timu hiyo jambo litakalomfanya aondoke bure kabisa.