Van Dijk kutundika daruga bado sana! BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk amedai kuwa ana “miaka mitatu au minne” mbele ya kucheza soka la kiushindani wakati mkataba wake wa sasa ukitarajiwa kumalizika mwisho wa msimu.
Taifa Stars uhakika Afcon, Guinea yaangukia pua CAF Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imetupilia mbali rufaa ya Guinea dhidi ya Tanzania na hivyo kuipa uhakika Taifa Stars kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon...
Sikia! Florian Wirtz njia nyeupe dili la Man City MANCHESTER City imepata matumaini makubwa ya kumsajili kiungo wa Bayer Leverkusen na Ujerumani, Florian Wirtz kaitka dirisha la majira ya kiangazi mwakani baada ya Mkurugenzi wa Mtendaji wa...
Palmer, lolote linaweza kutokea LONDON, ENGLAND: KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema mchezaji wake, Cole Palmer anatakiwa kufanya vizuri zaidi pale anapokuwa anawekewa mtu mmoja wa kumkaba muda wote wa mchezo, vyenginevyo...
Nidhamu yatajwa sababu Rashford kutemwa mechi tatu IMEPITA miaka miwili tangu Marcus Rashford aachwe katika kikosi cha Manchester United kilichocheza dhidi ya Wolves chini ya kocha Erik ten Hag baada ya kuchelewa kwenye mkutano wa timu.
Mtasema! Guardiola awalaza mastaa mazoezi WACHEZAJI wa Manchester City walilazimika kulala kwenye uwanja wa mazoezi wa timu hiyo siku moja kabla ya mchezo wao dhidi ya Everton uliopigwa jana kwenye dimba la Etihad.
Huu ndo ukweli wa ngoma ya Kasongo! 'KASONGO ye yeee, mobali na ngai... Kasongo nga nawe ooh.... Zonga libala eeh...' Hiki ni kibwagizo cha wimbo maarufu wa zamani wa Kasongo, ambao kwa siku za hivi karibuni ndani na nje ya nchi...
Baleke ndo basi tena Yanga SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuweka bayana kwamba straika wa Yanga, Mkongomani Jean Baleke amekalia kuti kavu katika kikosi hicho, sasa imethibitishwa kwamba ndoa ya pande hizo mbili imeisha...
Milioni 50 zakwamisha basi Coastal Union KIASI cha Sh50 milioni zilizotakiwa kulipwa Mamlaka la Mapato Tanzania (TRA), zimedaiwa kukwamisha basi la Coastal Union kutoka bandarini Dar es Salaam na sasa mabosi wapya wanakuna vichwa...
PRIME Ramovic ashtukia mtego Dodoma, atoa tahadhari YANGA ina rekodi nzuri inapocheza dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi za Ligi Kuu Bara kwani haijawahi kupoteza tangu zianze kukutana Desemba 19, 2020.