Madonna, Shakira, Bieber kutikisa mapumziko Kombe la Dunia FAINALI ya Kombe la Dunia kati ya Argentina na Hispania itakuwa ya kipekee leo baada ya FIFA kuamua kwa mara ya kwanza katika historia kuanzisha burudani ya muziki wakati wa mapumziko ya kipindi...
Tuchel ajitetea kwa ushindi wa kihistoria KOCHA Thomas Tuchel anaweza kuhisi amewajibu wakosoaji wake. Ushindi wa mabao 6-4 dhidi ya Ufaransa katika mchezo wa kusaka nafasi ya tatu Kombe la Dunia umempa England nafasi yake bora zaidi...
Folz afichua sababu za kumvuta Skudu Tunisia KOCHA wa zamani wa Yanga, Romain Folz, ametaja sababu zilizomfanya amteue raia wa Afrika Kusini, Mahlatse Makudubela ‘Skudu’, kuwa sehemu ya benchi lake la ufundi katika klabu ya US Monastir ya...
Doumbia sasa ni rasmi Simba KLABU ya Simba, imeinasa saini ya mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka AS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili.
Xabi Alonso amjaza Morgan Rogers KOCHA wa Chelsea, Xabi Alonso, amesema klabu hiyo itaendelea kufanya biashara katika dirisha la usajili hadi dakika za mwisho huku akimsifu nyota mpya Morgan Rogers, aliyesajiliwa kwa Pauni 117...
NIONAVYO: Yanga wameanza vizuri, kazi bado mara nyingi wameonyesha uwezo wa kufanya jambo sahihi panapotakiwa hata wakipita katika mazingira magumu,muhimu kila mhusika atimize wajibu wake. Mwandishi wa Makala hii ni Katibu mkuu...
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Lionel Messi amevipiga vita vilivyo vizuri, imani ameilinda Nimesoma mahali PSG wamegawanyika katika suala la Lionel Messi. Mkataba wake na PSG unatamatika mwisho wa msimu huu na bodi imegawanyika kuhusu kumwongezea mkataba mpya. Lipo kundi linalohitaji...
MKWAMBI: KWA SIMBA HII, YANGA ITASUBIRI SANA KATIKA utawala wa bodi ya Simba hakuna bosi aliyewahi kuitingisha klabu hiyo kama Swedy Mkwabi ambaye alisababisha mvutano mkubwa kisha akaamua kujiweka kando kwa kujiuzulu.
HADITHI: Zindiko (sehemu ya 24) Huu ni mwendelezo wa hadithi ya ZINDIKO iliyojaa visa na mikasa ya kimaisha kutoka kwa mtunzi mahiri wa riwaya, SULTAN TAMBA. Twende naye...
NIONAVYO: Msimu Mpya wa 2023/24 uko mikononi mwa waamuzi maslahi ya waamuzi yako sawa kwani mpira uko mikononi mwao. Waamuzi wazuri wataifanya ligi hii iwe bora zaidi. Mwandishi wa makala hii ni Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Soka...