Mlandege, Singida BS kufungua dimba Mapinduzi Cup 2026 RATIBA ya Kombe la Mapinduzi 2026 imewekwa hadharani ikionyesha Mlandege na Singida Black Stars zitafungua dimba la michuano hiyo Desemba 28, 2025.
Atimuliwa timu ya taifa Iran kisa picha na kiongozi wa Dubai Mshambuliaji nyota wa Iran, Sardar Azmoun, amefukuzwa katika kikosi timu ya taifa ya nchi hiyo baada ya kukiuka kile kilichoonekana kuwa kitendo cha kutokuwa mwaminifu kwa serikali.
Vita ya taji la Carabao, Man City v Arsenal Wembley LEO Jumapili, macho ya mashabiki wa soka duniani yataelekezwa katika uwanja wa kihistoria wa Wembley, ambapo vigogo wawili wa soka la England, Manchester City na Arsenal, watashuka dimbani...
Benjamin Sesko apinga kuitwa ‘Super Sub’ ataka nafasi zaidi WAKALA wa mshambuliaji wa Manchester United, Benjamin Sesko, ameonyesha kutoridhishwa na nafasi yake chini ya kocha Michael Carrick, akipinga nyota huyo mwenye thamani ya Pauni 74 milioni kupewa...
Masharti ya Chelle kupelekwa Kamati ya Ufundi NFF MJUMBE wa Bodi ya Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF) amethibitisha kuwa, masharti yaliyowasilishwa na kocha mkuu wa timu ya taifa hilo, Eric Chelle, yatafanyiwa tathmini na Kamati ya Ufundi ya...
Saka anavyoleta machaguo mengi Arsenal DIRISHA la usajili lilifungwa wiki mbili zilizopita, lakini Mikel Arteta ghafla amepata silaha mpya.
Wilfred Kidao apata shavu TRA United ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidao, ni miongoni mwa wajumbe nane wanaounda Bodi ya Usimamizi wa TRA United SC inayoongozwa na Mwenyekiti wake...
Hatua ya 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya ni moto! NI kivumbi na jasho. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye 16 bora imepangwa, huku ikiipa nafasi Manchester City kukutana na mabingwa wa Kihistoria, Real Madrid katika mechi...
Philippe Coutinho pesa sio shida zake WIKI iliyopita kiungo mshambuliaji wa Brazil, Philippe Coutinho, alitamba katika vichwa vya habari baada ya kuvunja mkataba wake na klabu ya Vasco da Gama ya Brazil kwa kile kilichoelezwa kuwa ni...