HAJI MANARA: Eeh Mungu ehhh!! Ni kweli umemchukua brother Kibonde? Maisha hayo ya Kibonde kwa kiasi kikubwa yaligusa kundi kubwa la watu hasa wadau wa burudani na michezo na ndio maana haijashangaza kuona wengi wakitumia kurasa zao za kijamii na vyombo vya...
Lusajo atoa sababu kushindwa kutupia makundi Shirikisho Mshambuliaji na nahodha wa klabu ya Namungo, Reliants Lusajo jana alitupia mabao matatu pekee yake katika ushindi wa bao 3-2 dhidi ya JKT Tanzania na kuipeleka Namnugoi hatua ya robo fainali ya...
VIDEO: Salamba kuomba kiatu ni gumzo kila kona mitandaoni Kitendo hicho kimezua mjadala kutokana na utani wa jadi baina ya mashabiki wa Simba na Yanga nchini.
Kotei aitega Simba kimtindo Wakati Simba ikitarajia kuwapa mkono wa kwaheri wachezaji saba wa kigeni, kiungo Mghana James Kotei na Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, wamewagawa vigogo wa klabu hiyo kongwe nchini.
Frank Lampard kupewa miaka mitatu safi Chelsea MDAKU mmoja amedai ana uhakika kuwa tajiri wa Chelsea, Roman Abramovich amempa kazi kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Frank Lampard kuwa kocha kwa mkataba wa miaka mitatu.
Kisa mkataba: Tayari Solskjaer apigwa zengwe Old Trafford Kumteua Solskjaer kuwa kocha wa kudumu ni kucheza kamari lakini tayari kuna klabu ziliwahi kufanya hivyo na kufanikiwa kama vile Barcelona na Real Madrid.
Dk Ndumbaro atoa neno kwa wawekezaji utalii Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Damas Ndumbaro amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa sekta ya utalii pamoja na kuendelea kuboresha huduma za kitalii nchini...
JACKIE CHAN: Fundi aliyegoma kuacha pesa AKIWA na umri wa miaka 71, ambao watu wengi walitegemea kuona akipumzika baada ya kutumika kwa muda mrefu katika kiwanda cha uigizaji wa filamu na kutengeneza utajiri mkubwa, Jackie Chan...
Vita ya ubingwa yaendelea EPL, Arsenal yatajwa MAMBO yanazidi kunoga England. Hadi sasa Arsenal ndio inaonekana kupewa nafasi kubwa ya kushinda taji la ligi hiyo kutokana na mwendelezo wa matokeo mazuri ambao imekuwa ikiyapata tangu kuanza...
KMC, Mtibwa Ligi Kuu Bara ngoja tuone! NA leo tena! Ndivyo unavyoweza kusema wakati KMC iliyotoka kupasuka nyumbani katika mechi iliyopita mbele ya maafande wa JKT Tanzania, leo itashuka tena uwanjani kuvaana na Mtibwa Sugar...