Mastaa kibao kukosa Arsenal na Chelsea ARSENAL na Chelsea zinakutana kwa mara ya nne ndani ya miezi mitatu, ambapo kikosi cha Mikel Arteta kikiwakaribisha The Blues katika Uwanja wa Emirates kwa ajili ya kipute cha Ligi Kuu England...
Morocco kupinga adhabu ya CAF, yaundaa kamati maalum kujadili SHIRIKISHO la Soka la Kifalme la Morocco (FRMF) limetangaza litakata rufaa kupinga hatua za kinidhamu zilizochukuliwa baada ya fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025).
Mdau wa soka Nigeria awaonya viongozi NFF ishu ya Chelle MWENYEKITI wa zamani wa Shirikisho la Soka la Jimbo la Gombe, Ahmed Shuaibu Gara-Gombe, ameuonya uongozi wa Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF) kuhusu mchakato wa kusaini mkataba mpya na Kocha...
Tanzania yapanda viwango vya ubora CAF Tanzania ambayo ilikuwa nafasi ya sita, sasa ipo nafasi ya tano huku Tunisia iliyokuwa nafasi ya tano ikishuka hadi ya sita.
Gwiji Brazil agusia ishu ya Neymar Kombe la Dunia SIKU chache baada ya timu ya taifa ya Brazil kupata kichapo cha mabao 2-1 nyumbani kutoka kwa Ufaransa, supastaa wa nchi hiyo, Neymar Jr ameibuka tena katika mjadala ambao unaweka shinikizo kwa...
Arteta: soka la kuvutia ni gumu England MIKEL Arteta anadai kuwa haiwezekani kucheza soka la kuvutia kwenye Ligi Kuu England.
Bernardo Silva anaondoka Man City na utajiri wake BAADA ya safari ndefu, hatimaye staa wa Manchester City, Benardo Silva aliweka wazi atashuka katika treni ya klabu hiyo mwisho wa msimu huu.
Mastaa Man City, wake zao waagana na Silva, Stones NYOTA kadhaa wa sasa na wa zamani wa Manchester City pamoja na wake na wapenzi wao walionekana wakiburudika usiku manane kwenye sherehe ya kuwaaga mastaa wa kikosi hicho, Bernardo Silva na John...
Usipojipanga BDL imekula kwako WAKATI timu zikisubiri kutangaziwa tarehe ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), timu zitakazoshindwa kujipanga vizuri huenda zikajikuta zikikumbana na vichapo vya kushangaza...