Mourinho: Kocha anayetajirika kwa kufukuzwa kazi MWISHONI mwa wiki iiyopita moja ya stori kubwa ilikuwa ni kufukuzwa Kocha Jose Mourinho kufukuzwa na Fenerbahce ya Uturuki baada ya kutolewa hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Henry: Gyokeres ana shida LEJENDI wa Arsenal, Thierry Henry ameonyesha kutokuridhishwa na namna straika wa timu hiyo, Viktor Gyokeres alivyocheza katika mechi dhidi ya Athletic Bilbao kutokana na kupoteza nafasi muhimu na...
Guinea ya Ikweta matatani ikishindwa kuifuata Malawi kufuzu Kombe la Dunia 2026 Guinea ya Ikweta imeshindwa kusafiri kwenda Malawi kwa ajili ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia la FIFA 2026 iliyopangwa kuchezwa jioni ya leo Alhamisi Oktoba 9, 2025, hali iliyozua sintofahamu...
Iwe dabi ya heshima, soka na ubora LEO ndio mwanzo wa msimu wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuwa na mvuto wa kipekee kwa wapenzi wa soka nchini.
KIKAO KIZITO! Bosi akutana na Amorim BOSI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe, aliruka kwa helikopta kwenda jijini Manchester ili kufanya mazungumzo na Ruben Amorim kufuatia mwanzo mbaya wa msimu wa klabu hiyo.
Real Madrid mambo ni moto, Mbappe, Mendy wako poa Real Madrid wamepokea habari njema kuelekea mechi yao ya LaLiga dhidi ya Getafe itakayopigwa Jumapili, Oktoba 19, 2025 baada ya kuripotiwa kuwa mshambuliaji Kylian Mbappe atakuwa tayari kucheza.
Arsenal kuhamia Wembley kupisha maboresho Uwanja wa Emirates KLABU ya Arsenal huenda ikahamishia mechi zake zotw kwenye Uwanja wa Wembley, ili kupisha maboresho ya Uwanja wa Emirates, kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka kwa The Telegraph.