Vyoo Uwanja wa Mkapa hatari tupu zinaziba au ndogo kuliko mahitaji. Sio sehemu za kukojolea tu, bali hata kwenye ‘masinki’ ya kujisaidia hali si shwari kwani yanakuwa yamejaa uchafu muda wote. Mmoja wa watumiaji wa vyoo hivyo...
CAF kuzichunguza Morocco, DR Congo kisa vurugu ya mechi hiyo iliyomalizika kwa sare ya 1-1 huku majibizano ya awali yakianzia kwa Regragui na Mbemba. Wachezaji na maofisa walirekodiwa wakikimbilia kwenye vyumba vya kuvalia, huku aliyerekodi...
Matola aachiwa msala Simba, Mgunda Singida hakutaka jina litajwe amethibitisha juu ya msako wa kocha mpya. “Ni kweli ishu ipo ila bado haijakamilika, wamezungumza na makocha wengi ila Mgunda ndiye ana asimilia kubwa ya kupatikana.” Kwa...
Tido Mhando afichua kilichoiponza Tanzania Olimpiki - 3 Nami pia nikapata bahati ya kwenda kote, Algiers na Edmonton. Kama kawaida kote umaarufu uliojengeka wa wanamichezo wa Tanzania ulionekana bayana waliogopewa na kuheshimiwa. Jambo moja...
Wadau wafunguka kuzisaidia Simba, Yanga na Singida FG kimataifa ,"-mchezaji wa zamani, Oscar Joshua Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Devotha Kihwelo amemalizia nakusemaa ili timu za Tanzania zifanye vizuri Kimataifa ni lazima viongozi wawaache...
AHMED: Msidanganywe mimi mnyama! NI kitambo, Simba haikuwa na MKuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano, tangu alipojiuzulu na kuhamia Jangwani, Haji Manara. Ndio, nafasi hiyo ya Manara ilikaimiwa na Ezekiel Kamwaga kwa muda wa...
KWA SAM WA UKWELI; Bora Wali-Tembele kuliko walimwengu Kama yalivyo maneno ya mwandishi galacha wa Uingereza, William Shakespeare, kuhusu kifo, ndivyo imekuwa ikithibitika miaka yote. Shakespeare aliishi muhula wa pili ya Karne ya 17 na kufariki...
Agnes Masogange amekufa, lakini Jebby amekufa zaidi Januari 24, mwaka huu, mwandishi Anna Fifield wa gazeti na mtandao wa The Washington Post, Marekani, aliandika ripoti jinsi Wajapan wengi kwenye Jiji la Kawasaki, Japan wanavyofariki dunia...
Gwiji Afrika aliye chanzo cha Mogella kuitwa ‘Golden Boy’ NDIO kwanza nimefika nyumbani kwangu Accra, Ghana, kutoka Nigeria nilikokwenda kuandika makala kwenye gazeti la Sunday News.
SHAURI LA MWAKALEBELA PICHA PANA NI bahati mbaya sana kwamba wapenzi na wadau wa soka hukimbilia katika majumuisho rahisi rahisi badala ya kujadili kwa mapana hoja zinazotokana na vitendo fulani, maamuzi au tukio fulani.