Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8934 results for Mwandishi :

  1. Kiungo England ampa ujauzito binti wa kocha wake

    Kiungo wa Sheffield United, Oliver Arblaster na binti wa kocha wake, Martha Elizabeth Wilder wamethibitisha kuwa wanatarajia kupata mtoto kutokana na uhusiano wao wa kimapenzi uliodumu kwa muda...

  2. Serengeti Boys yafuzu Kombe la Dunia U-17

    USHINDI wa mabao 3-0 ilioupata Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo Mei 17, 2026 dhidi ya Angola, kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U-17) zinazoendelea...

    SERENGETI Pict
  3. Mo Salah azua hofu Kombe la Dunia

    Kocha Mkuu wa Misri, Hossam Hassan, amesema nahodha wa timu hiyo, Mohamed Salah atafanyiwa uchunguzi wa kiafya ili kubaini hali yake baada ya kuomba mwenyewe kutolewa katika mechi dhidi ya Iran...

  4. VAR yainyima bao DR Congo

    VAR kwa mara nyingine imeendelea kuzionea timu za Afrika baada ya Ghana sasa ni DR Congo walinyimwa bao la kuvutia dhidi ya Uzbekistan, uamuzi ambao uliibua hasira kubwa kutoka kwa mashabiki na...

    VAR Pict
  5. Utabiri Argentina, Ufaransa fainali, England mmh!

    KOMPYUTA maalumu ya kutabiri matokeo ya mashindano (supercomputer) imetabiri kuwa Argentina na Ufaransa zitakutana tena kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2026, kama ilivyokuwa mwaka 2022.

    UTABIRI Pict
  6. Argentina yazindua sanamu la Messi

    ARGENTINA imezindua sanamu ya Messi yenye uzito wa tani 70, ikiwa ni kubwa zaidi duniani ambayo inalenga kuvutia watalii katika Jiji la Cutral Co lililopo mkoani Neuquen ambalo linaaminika kuwa...

    MESSI Pict
  7. Ni fainali za Antonela na Georgina

    KULE Marekani ndiko waliko Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wakiziwakilisha nchi zoa katika fainali za Kombe la Dunia 2026, huku wakiwa na ndoto kubwa za kuvunja rekodi fulani katika historia ya...

    FAINALI Pict
  8. Emiliano Martinez ‘achizika’ na ubingwa Europa League 

    KIPA wa Aston Villa, Emiliano 'Emi' Martinez, alishindwa kuzuia hisia zake na kuangua kilio cha furaha baada ya kikosi hicho kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Freiburg katika fainali ya...

    EMILIANO Pict
  9. Cristian Romero aikacha Spurs, atimkia Argentina

    Nahodha wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero amezua hofu baada ya kusafiri kwenda nchini kwao Argentina kushuhudia fainali ya klabu yake ya utotoni ya Belgrano, huku Spurs ikikabiliwa na mechi...

    ROMELO Pict
  10. Sakata la West Ham, Arsenal laibua mjadala Kombe la Dunia 2026

    WACHEZAJI wa timu ya taifa ya England wamepewa onyo na kujiandaa na sheria kali dhidi ya mchezo wa kushikana na mivutano ndani ya eneo la hatari wakati wa michuano ya Kombe la Dunia 2026.

    SAKATA Pict
Previous

Page 448 of 894

Next