Wembanyama, Jaylen Brown wateuliwa akiba NBA All-Star 2025
JANUARI 31, 2025, wachezaji 14 walitangazwa kuwa wachezaji wa akiba kwa ajili ya mchezo wa All-Star wa NBA utakaopigwa Februari 16, 2025 kwenye Uwanja wa Chase Center huko San Francisco, Marekani.