Mambo manne kumbeba Amorim RUBEN Amorim atakuwa na muda wake wa kwanza kuwa na pre-season nzima kwenye kikosi cha Manchester United tangu alipokuwa kocha wa timu hiyo ya Old Trafford.
Madueke: Muda wa mataji umefika STAA Noni Madueke amekamilisha dili lake la kujiunga na Arsenal na hakutaka kuchukua muda kuwaambia mashabiki wa timu hiyo: “Sasa ni muda wa mataji.”
Dili la Gyokeres sarakasi kibao SAKATA la straika Viktor Gyokeres kuachana na Sporting Lisbon limechukua sura mpya baada ya mkali huyo wa kimataifa wa Sweden kuwachapa barua ya kisheria waajiri wake.
Konate aingia anga za Real Madrid, dili ni mwakani REAL Madrid iko tayari kusubiri hadi msimu ujao ili kumsajili beki wa Liverpool na timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, mwenye umri wa miaka 26, kwa uhamisho wa bure.
Bacary Sagna afunguka uchungu wa kufiwa BACARY Sagna amefunguka ya moyoni akidai anafahamu maumivu wanayopata wanasoka wanapopoteza wapendwa wao.
Chama la Yamal... Utake, usitake utapigwa tu! Linapokuja suala la kuchagua kikosi bora kwenye historia ya soka jambo hilo ni gumu sana, hata inapotakiwa kikosi chenyewe uchague kutoka kwa mastaa wa Barcelona.
PRIME Miezi 10 ya hasara kwa Fei Toto KWA wasiojua ni Jumamosi ya Oktoba 5, 2024, Feisal Salum 'Fei Toto' alitakiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili na Azam FC. Mkataba huo ulikuwa ukiunganisha na ule aliokuwa nao awali...
Man United yavamia dili la Viktor Gyokeres LICHA ya mchezaji mwenyewe kuonyesha nia ya kutaka kujiunga na Arsenal pekee, inaelezwa Manchester United imeingia katika vita dhidi ya Arsenal na kutaka kuwasilisha ofa ili kuipata huduma ya...
PRIME Kocha mpya Yanga aleta straika mwingine KABLA hata hajatambulishwa wala kugusa uwanja wa mazoezi, kocha mpya wa Yanga, Romain Folz ametoa maagizo mazito ya kutaka asajiliwe straika mmoja wa mabao. Kocha Folz ndiye anayetajwa kuwa...
Alexander Isak, Liverpool muda utaamua STRAIKA wa Newcastle United, Alexander Isak amekoleza moto wa kuwa kwenye rada za Liverpool huku mwenyewe akiwahi kukiri kuvutiwa na mpango wa kwenda kukipiga huko Anfield.