Luis Diaz, Bayern Munich haijaisha hadi iishe WINGA wa kimataifa wa Colombia Luis Diaz, 28, bado ana dhamira ya kuondoka Liverpool dirisha hili la usajili la majira ya kiangazi na Bayern Munich ni miongoni mwa timu anazoweza kutua.
PRIME Hersi apita na mido wa Simba ULISIKIA lile jina la kiungo Lassine Kouma kutoka Stade Malien? Yule aliyekuwa anawindwa na Simba? Basi Yanga imefanya kama ilivyofanya kwa mastaa wengine. Taarifa zinabainisha imeshapita naye...
Offen Chikola asaini Yanga, apewa mitatu YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola.
Arteta asema bado anasajili KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kikosi chake bado finyu na hakina viwango vya kutosha hivyo ataendelea kufanya usajili mkubwa kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Stars yaanza vyema maandalizi CHAN, ikiipiga The Cranes Taifa Stars imeanza vizuri kwenye mashindano maalumu ya CECAFA ya kujiandaa na Michuano ya CHAN 2024 baada ya kuichapa timu ngumu ya Uganda kwa bao 1-0.
Ile ya Mbeumo imekwisha bana! HATIMAYE, Manchester United imempata staa wake iliyemsaka kwa muda mrefu kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi na sasa, Bryan Mbeumo atajiunga na wenzake kwa ajili ya ziara ya pre-season...
Emiliano bado awachanganya vigogo Manchester United MANCHESTER United bado inafanya majadiliano ya ndani kwa ajili ha kumsajili kipa wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emiliano Martinez dirisha hili, lakini wanarudishwa nyuma na ada ya...
Helabet: Kampuni bora ya ubashiri Tanzania Kuna kampuni nyingi za ubashiri ambazo zinatoa huduma Tanznaia, lakini ni kampuni moja pkee ambayo inaaminika kwa asilimia 100. Hii ndiyo maana Helabet inaamini kuwa ni kampuni ya kuweka madau...
Mambo manne kumbeba Amorim RUBEN Amorim atakuwa na muda wake wa kwanza kuwa na pre-season nzima kwenye kikosi cha Manchester United tangu alipokuwa kocha wa timu hiyo ya Old Trafford.
Madueke: Muda wa mataji umefika STAA Noni Madueke amekamilisha dili lake la kujiunga na Arsenal na hakutaka kuchukua muda kuwaambia mashabiki wa timu hiyo: “Sasa ni muda wa mataji.”