Man United yarudi Aston Villa kumchomoa Martinez MAKOSA yaliyoonyeshwa na makipa wawili wa Manchester United, Andre Onana na Altay Bayindir hivi karibuni, yamesababisha mabosi wa mashetani hao wekundu kurudi kubisha hodo Aston Villa kabla...
Jackson anuna, Bayern Munich yafunguka NYOTA wa Chelsea na timu ya taifa ya Senegal, Nicolas Jackson, ameripotiwa kuchukizwa vibaya na kuvunjika kwa mpango wake wa kujiunga na Bayern Munich kwa mkopo, licha ya kuwa tayari alishatua...
Howe atoa msimamo kwa Isak, saa zikizidi kukatika KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe bado hana uhakika juu ya mustakabali wa straika wa klabu hiyo Alexander Isak na ameweka wazi kuwa anaweza akarejea katika kikosi tena.
PRIME Sowah, Camara wana siku 18 ngumu Simba KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na...
Mbwana Samatta mdogo mdogo Ligue 1 NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ameendelea kuizoea Ligi Kuu ya Ufaransa, baada ya usiku timu anayoichezea ya Le Havre kupata ushindi wa kwanza wa mabao 3-1 dhidi ya Nice.yo...
Tanzania ya pili Kombe la Dunia la vijana wa mazingira magumu Timu ya Tanzania ya Wanawake kutoka kituo cha Future Stars Academy cha jijini Arusha, imeshika nafasi ya pili katika michuano ya vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu (Homeless World Cup)...
Man City yapigwa tena, West Ham safi MANCHESTER, ENGLAND: Manchester City imeendelea kuwa na matokeo mabaya kwenye Ligi Kuu England, Premier League baada ya kulala kwa mabao 2-1 dhidi ya Brighton. City imepoteza michezo miwili kati...
Spurs yaitibulia AC Milan dili la Akanji TOTTENHAM Hotspur inaongoza katika vita ya kuiwania saini ya beki wa Manchester City, Manuel Akanji, 30, katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Skauti Liverpool afunguka dili la Guehi SKAUTI wa Liverpool, Stewart Downin ambaye kazi yake ni kutambua na kupendekeza wachezaji ameweka wazi kwamba beki wa Crystal Palace Marc Guehi ambaye anahitajika na Liverpool anasajiliwa kwa...
Fenerbahce yatua kwa Ederson, Donnarumma kicheko KWA mujibu wa ripoti, klabu ya Fenerbahce ya Uturuki sasa ipo katika mazungumzo ya kumsajili kipa wa Manchester City, Ederson hali inayoliweka hai dili la Gianluigi Donnarumma kutua jijini...